Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Kwa uchovu huo, kimoja tu upo hoi bin taaban.Wananchi tumemaliza magoli uwanjani tuhamie magoli ya chumbani sasa.... ๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น
Usiku mwemaaa
Hata mimi naziweka KENDE zangu ubaoni.. wazifyekeTarehe nane Yanga watafungwa na Simba.
Yanga wakipata hata goli moja mnikate Pumbu.
mpira umeangalia na naniHakuna nafasi nyingine Red Arrows waliyotengeneza zaidi ya ile ya goli lao 1 tu.
oneni hiki Kingereza cha UDSM๐ญ๐ญHuyo kipa wa red allow ni nyoko
wana Yanga wastaarabu watazichofoa taratiibu kwa uaminifu mkubwa.๐๐๐๐ hujipendi ehee
Au ushazaa watoto wa kukutosha
Yaan hawa Utopolo tarehe 8 wajiandae na kit*mbMambo ya aibu kabisa, Red Card ya mchongo, Penalty ya mchongo...kifupi Utopwa ni takataka kabisa.
Upi?jana nyinyi amkupewa penalty?Huoni msaada mliopewa
Ki dasilamu hicho masteroneni hiki Kingereza cha UDSM๐ญ๐ญ
Kushinda mpaka red card mjomba Ona aibuUpi?jana nyinyi amkupewa penalty?
Ilifikia hatua nikajiuliza hii ni Yanga au Chelsea SC, hakika 2024/2025 Makolokolo yatapata tabu saaaana ๐Yanga timu kali kali sanaaaa, tuache ushabiki wa kijinga, Yanga ni zaidi ya hatari, hiyo tar 8/8 Simba watafungwa mengi sana
Inakua 3-1 sasa ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃKwa uchovu huo, kimoja tu upo hoi bin taaban.
Shoo njema.
Pole kabisa, hongera kwa anayekupelekea moto leo.Wananchi tumemaliza magoli uwanjani tuhamie magoli ya chumbani sasa.... ๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น
Usiku mwemaaa
Walitaka Kutia Kitumbua Mchanga ๐คฃ๐คฃ๐คฃNi harali red arrow kuwa mabingwa bila shaka walitaka kuchafua sikukuu ya watu
Yanga siku zote kwenye hili tamasha uwa wanaalika timu ngumu,Ni harali red arrow kuwa mabingwa bila shaka walitaka kuchafua sikukuu ya watu
Nyinyi kina nani?Upi?jana nyinyi amkupewa penalty?