joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Mabonanza yameisha sasa tunaingia kazini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁😁😁Sasa nawaombeni Jamni fungeni Milango yenu Vuzuri kabisa, Lock Na muwe macho na wale mlio kwenye magari Ongezeni Mwendo maana VIBAKA WAMEACHIWA
Kwahiyo Tz ina club 2 tu?Makolo jana amkupewa penalty?
Nimeweka sawa mkuu. Asante!oneni hiki Kingereza cha UDSM😭😭
Sisi Tuna Azizi Pattern wambie kabisa..tarehe nane tunaonyeshana umwamba ngeder nyinyi.
Nyinyi si mna Aziz Key.sisi tuna Aziz password👇
View attachment 3061771
Kwamba 2-1??Jamaa aliyekuja kumkumbuka Yusuf Manji kasema msiwe na shaka, shughuli ni kipindi cha pili na ushindi ni kwa ajili ya Yusuf Manji.
AsubutuuuuHii Yanga kama Man City
Ni rede auTar 8:8 nasema moja kwa moja Simba watafungwa si chini ya magoli 7 hadi 8
Au Mbeleko fcHii Yanga kama Man City
Ni rede au
Kwani refa amekosea nn kwenye ile card ya pili ya njanoMpira Umeharibiwa na Refa baada ya kutoa Kadi nyekundu
Achana na Simba, katika ukanda huu wa East, Central na west hakuna timu ya kuifunga Yanga hii ya Sasa.Tar 8:8 nasema moja kwa moja Simba watafungwa si chini ya magoli 7 hadi 8
Simba itaenda kupata aibu ambayo haijawahi tokea