Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda mcheze na simba queensSimba wakicheza hata goli 10 watafungwa
Nitakushtua
Uje ujicheke
Ndoto za watu wanaojinyea!Tar 8:8 nasema moja kwa moja Simba watafungwa si chini ya magoli 7 hadi 8
ImefanyajeRed card
Bookmark added successfully 😃😃Narudi Simba itafungwa si chini ya goli 7 hadi 8
Wewe kolo ulitimia kikosi chote ukala kono la nyani.Takataka! Hii ndio timu inayoji brag mwezi mzima.kua itaifunga simba goli nyingi ,,unafunga goli baada ya timu pinzani kupewa red card [emoji706]
Vibaka wameachiwa kwa mkapa huko, ndo hao wamevamia uziMbona comment zinajirudia rudia
Confidence ya uto imeporomoka kwa zaidi ya asilimia 60. Walitegemea kusukuma mlevi wakajikuta wamekwaa kisiki!!
Kwa kushinda leo kwa bahati hadi msaidiwe red card..? [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Tarehe 8 sio mbali. Tutaona timu vs mkusanyiko wa wachezaji
Lakini kiongozi wao alishatangaza kuwa ushindi ni kipindi cha pili mambo yalikuwa planned na huenda alitamka vile kwa bahati mbaya hatukupaswa kujua kinachoendeleaMechi ya bonanza kama hii ambayo sheria na kanuni kibao za soka zinapindishwa, kulikuwa na umuhimu gani kutoa ile kadi nyekundu?
Kipindi cha pili tumeona ile Yanga tunayoijua inayojua kuhonga.
Mawazo ya watu wanaojinyea.Achana na Simba, katika ukanda huu wa East, Central na west hakuna timu ya kuifunga Yanga hii ya Sasa.
Wasaliti wote tumetimua na wengine wamekuja kwenu.Wewe kolo ulitimia kikosi chote ukala kono la nyani.
Au unadhani tumesahau.
Kwenye Friend match huwezi kutoa kadi kama Unatoa Njugu ili watu watafune...Kwani refa amekosea nn kwenye ile card ya pili ya njano
Mawazo ya watu wanaojinyea.