FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium

FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium

Kwa kweli. 😂😂 hawaamini
Hawajiamini… mpk wanatumia lugha za kihuni kuwasiliana/ kucomment.
Walijiona Madrid hawaamini macho yao🤣🤣
1722747066349.jpg
 
Tarehe nane Yanga watafungwa na Simba.
Yanga wakipata hata goli moja mnikate Kende.

tuna wasiwasi huenda tayari ulisha-left group kwa pumba hizi

Kwenye Friend match huwezi kutoa kadi kama Unatoa Njugu ili watu watafune...

Refa alitakiwa kujua hilo ni bonanza na sio Match ya Ligi au CAF au FIFA
Makolokolo yanateseka namna hii sisi Wananchi kwanini tusinenepe kwa furaha 🤔😁

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Gamondi fundi sana kwa kucheza akili na Gongowazi

Yani pale ulipoona kuchezesha timu mzima ili asisomeke lakin kashazijua silaha zake za maangamiz kati ya waliocheza first half na second half

Endeleeni kushupaza shingo eti hamna timu pale ili mje kuukalia vizuri tarehe 8 hapo
Msiseme sikusema

Kwa wenye akili timu hii ni ya kufungwa si chini ya goli nne, ila Gamondi akaamua atembee na falsafa zake
 
Pale makolo wanapojitiaa moyoo,mtegoo umenasa. Hivi namna ya uchezaji wa Pacome,max ,Kii na mdadhiri Dube..makoloo mnawatuuu kwelii......oooohooo mgetulia tu.Jamaa Leo hawajatumia energy yoyote lbda hapo Mwisho.

Uhalisia wa Energy ya Yanga angalau 75% ni match ya Kaizer. Jana Simba alitumia energy yake yotee kupata matokeooo,Tarehe 8 mkiifuga niitwe Habibaa mwezi mzimaaaa...never.
 
Back
Top Bottom