Sasa ni zamu Wananchi Yanga kuonyesha visu vyao. Jumapili hii Agosti 4 katika dimba la Benjamin Mkapa itakuwa ni kilele ya Wiki ya Mwananchi utambulisho wa wachezaji wa msimu wa 2024/2025 kufanyika.
Utambulisho huo utakamilishwa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya mabingwa wa Kagame Cup, Red Arrows kutoka Zambia
Oscar bhanaaah!
Sio mbaya ila changamoto ni anapost na kupotea mazima, kwasababu kuna wadau humu huwa wanapenda kuzisemea timu zao kwa njia ya maandishi.Tumpe tu hiki cheo, anajitahidi saa sita kamili imkute macho......possible anaweka alam
Evelyn Salt umeona eeh!! π€£π€£Nyuzi za Yanga zikianzishwa na mleta mada huwa zinaishia pabaya. Hivi wewe jamaa kwani lazima kuanzisha nyuzi za Yanga mfyuuuuu zako unaboa
karibu supu ya kongoloSherehe ya wanywa supu ya vibudu
Mhasibu kama mhasibuSiku ya wazee
Naunga mkono hoja kakaSio mbaya ila changamoto ni anapost na kupotea mazima, kwasababu kuna wadau humu huwa wanapenda kuzisemea timu zao kwa njia ya maandishi.
Hawa Utopolo Vincenzo Jr na Joseverest na kina kiwatengu huwa wanakaa kutetea maslai yenu mwanzo mwisho.
Na hata huu upande wa Mabingwa, Simba Mnyama atakayewararua 8.8.24!
Tupo tunaotaka kusema kwa kuandika.
Sasa yeye anataka kuandika kupost kotekote, raha ya jukwaa hili litembee kishabiki.
Au aseme yeye ni mwandishi anayelipwa na jf π€£π€£π€£.
Anyway π jana umeona moto wetu, vikelele mmepunguza sasa.
Jana nilisema, Msiogope tutawafunga na hatutaweka mabango popote!!
ππNyuzi za Yanga zikianzishwa na mleta mada huwa zinaishia pabaya. Hivi wewe jamaa kwani lazima kuanzisha nyuzi za Yanga mfyuuuuu zako unaboa
ππKabisa ajibu hiiHuyu mdau yuko timu ipi?
Au wewe ni mwandishi wa michezo wa JF?
Labda Bingwa KinywajiYanga Bingwa
Pale kwa Mkapa utaketi VIP A? Itakuwa seat namba ngapi nije nikupige picha.Wazee wa kupeleka Motroooo...!πππ₯π€Έ
Nipo mzungukoPale kwa Mkapa utaketi VIP A? Itakuwa seat namba ngapi nije nikupige picha.