Ni harmonizeeeeeeeHarmonize kwanzaa
Mambo hayaelewekiMbona watu wa maana wanaanza kuondoka ππππ
Usimtukane ila tumemuachia yeye avumbue sisi tutakuwa wateja wake.Msenge sana wewe umefuata nini huku.
Unadhani ulaya hawafuatilii mpra.
Yn huyo mc sijui anafanya kaz gan. Watu wanaingia ingia tu hta hatambulishi unastukia tu msanii uyuu oh mara timu hyoo uwanjani khaa ππSherehe imedoda hakuna mpangilio wa mambo,muda umeenda tuone mpira sasa
Shifta amepewa hela ya bure hata pumzi hanaYn huyo mc sijui anafanya kaz gan. Watu wanaingia ingia tu hta hatambulishi unastukia tu msanii uyuu oh mara timu hyoo uwanjani khaa ππ
SidhanKunamvutano mkali nani atangaze wachezaji hali ni tete huko vyumban
Kaka unaweza kumchamba mtu hadi akafaπIla huyu mjomba NCHUMALI ni muandishi mzuri sana na ana melody kali, haka kangoma ka UTOPOLO kametulia, sisi kule yule ALI KIBAkuli kashindwa kutoa ngoma mpya, anasingizia ya mwaka jana ni kali, kumbe anaogopa atatoa boko π π€£
Ila bado nasubiri tamasha liishe nipate connection za kina mama J wapya.. watani hamjambo kwenye kuigiza X π π€£