Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Ni harmonizeeeeeeeHarmonize kwanzaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni harmonizeeeeeeeHarmonize kwanzaa
Mambo hayaelewekiMbona watu wa maana wanaanza kuondoka 😑😑😐😐
Usimtukane ila tumemuachia yeye avumbue sisi tutakuwa wateja wake.Msenge sana wewe umefuata nini huku.
Unadhani ulaya hawafuatilii mpra.
Yn huyo mc sijui anafanya kaz gan. Watu wanaingia ingia tu hta hatambulishi unastukia tu msanii uyuu oh mara timu hyoo uwanjani khaa 😂😂Sherehe imedoda hakuna mpangilio wa mambo,muda umeenda tuone mpira sasa
Shifta amepewa hela ya bure hata pumzi hanaYn huyo mc sijui anafanya kaz gan. Watu wanaingia ingia tu hta hatambulishi unastukia tu msanii uyuu oh mara timu hyoo uwanjani khaa 😂😂
SidhanKunamvutano mkali nani atangaze wachezaji hali ni tete huko vyumban
Kaka unaweza kumchamba mtu hadi akafa🙌Ila huyu mjomba NCHUMALI ni muandishi mzuri sana na ana melody kali, haka kangoma ka UTOPOLO kametulia, sisi kule yule ALI KIBAkuli kashindwa kutoa ngoma mpya, anasingizia ya mwaka jana ni kali, kumbe anaogopa atatoa boko 😄 🤣
Ila bado nasubiri tamasha liishe nipate connection za kina mama J wapya.. watani hamjambo kwenye kuigiza X 😄 🤣