Umenikumbusha mbali sana .. Mama J wa YangaIla huyu mjomba NCHUMALI ni muandishi mzuri sana na ana melody kali, haka kangoma ka UTOPOLO kametulia, sisi kule yule ALI KIBAkuli kashindwa kutoa ngoma mpya, anasingizia ya mwaka jana ni kali, kumbe anaogopa atatoa boko 😄 🤣
Ila bado nasubiri tamasha liishe nipate connection za kina mama J wapya.. watani hamjambo kwenye kuigiza X 😄 🤣
HaelewekiSasa Harmonize anafanya nini hapo.?
Alikuwa anakula koni utafikiri anafanya kazi kiwanda ya uonjaji kiwanda cha bakhresaUmenikumbusha mbali sana .. Mama J wa Yanga
Wala kunshukuru Mama🤣🤣🤣Hapa hamna risala wala kushukuru familia
Shifta ni mzuri kwenye kutengeneza matangazo tu.Shifta sijaona alichokifanya
Tafta ela mzee acha ale ela zake unampangia mwili wakeMjomba nchumali angepunguza mwili, kawa kama kiroba cha mchanga wa beach 😄 🤣
Angekuwa kuku au mbuzi kwa jinsi alivyonona krismas,idd au akija mgeni wa heshima hatoboi 😄 🤣
Kumpongeza mtu kwa kazi nzuri sio dhambi.Alopewa inamtosha! Alishasema hafanyi show chini ya 5M
Moja kati ya show mbovu kutoka kwa msanii anayeaminika kuwa mkubwa kuwahi kutokea kwenye tamasha la Yanga Day.Harmonize kwanini ujashika nyimbo yako[emoji17]
Apo kachoma sanaHarmonize kwanini ujashika nyimbo yako😔