FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium

Simba isingekuwa tawi la CCM msingemchukuwa Waziri wa mambo ya Ndani Mh. Masauni kuwa Mgeni Rasmi

Na Mashabiki na Viongozi wa Simba ndio waliomsifia sana Mama Samia jana ambaye ni Mwenyekiti wa CCM TAIFA
Hizi timu zote mbili ni mradi wa CCM kuwapumbaza watanzania wasiwehoji mambo ya maana kutwa kucha ni kuchambana tu Yanga na Simba. Wtw ni pipa na mfuniko wake.
 
Hii live ya Samia inatoa Boko sasa hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ