FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium

Kwani ni siri? Mbona bungeni walikuwa wanachomekea kwenye hotuba zao, wakati huo akiwa Waziri, Ndugai akaipongeza Simba, Mpango akaipongeza Yanga kwenye hotuba ya bajeti.
Yeah uko sahihi mpango ni yanga ndio maana yupo cool sana

USSR
 
Watu wa daslam usafiri ulivyo wa shida leo mtakoma
 
Mnataka mechi ianze mapema wakati mama mwenye nyumba magogoni hajala cha usiku kuweni na adabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…