mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Red arrow hawapo🙄. Natania.Hili tamasha la kiboya Half time uwanja utabaki nusu.
Wanapoteza sana muda hawaMie jamaa zangi wapo njian kuwahi kutazama kwa tv, wameamua watoke uwanjani.
Walilipa vitokeleoUtopolo mtuambie.hao watu ambao wapo uwanja wa uhuru.
Walilipa viingilio?
watu wanaaza kulalambele nini?
Sawa mtabiri tambitambi [emoji81]Kipindi cha kwanza, waty 15k+ wataondoka..
Watatudi tarehe 8 kwenye harusi ta kumuoa Kolowatu wanaaza kulalambele nini?
Tutalala hapahapawatu wanaaza kulalambele nini?
Ukisinzia unaibiwa simuWatu wengine wanasinzia
daaa kweli hili lakitofauti wametimiza lengo lakumuona demu wa azizi ngoja wakalale🤣🤣🤣Watatudi tarehe 8 kwenye harusi ta kumuoa Kolo
Saa tatu na robo usiku kakaMechi saa ngapi kaka?
Unaanza saa saba usikuHuko kwenu mpira umeanza?
Bado dakika mojaSaa tatu na robo usiku kaka
amefanyaje kakaUtopolo Wanajuta Kumfahamu Manara...!