Ha ha haNgapi hukoo?
Kwani Pacome,Aucho, Chama Hawajaingia bado?
what about ubao unasomaje?Hawa res arrow watalala na viatu ili mbungi wanalochezeshwa ni next level
Kwani Manara anacheza?manara nuksi. yanga wanatepeta. mistake after mistake
Mbele wanaenda wengi sana halafu kurudi wanarudi wachacheSema hawa wanetu wanaruhusu sana mashambulizi!!!
Sauz lilikuwa NiniYaani ww mpaka hili bonanza unalitolea macho jidanganye.
Hiyo inaitwa asinyimwe vyoteeti possession yanga ana 61%π π π
Uwanjani wanaingia 11, mchague kabisa wa kuanza tarehe 8Yaani huyu Pacome yaani hili bonanza anacheza hivi, halafu bado kuna Dube......... nyie.Jana kuna watu hata ukiwauliza walikiwa wanacheza mfumo gani hawajui,muunganiko hamna....... tupo hapa.Wanatupigia kelele humu ,nyie jidanganyeni maana sijui safari nani atapewa mzigo wa lawama wa kuitwa duka.