Mjamaa1
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,596
- 6,023
Huyu jamaa ni msengerema sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa ni msengerema sana
Naona bus limeingia muda si mrefu likifuatiwa na VP. ila kwa mida hii naona kama wamechelewa sanaSaa 12 na nusu sasa hakuna dalili ya kutambulisha wachezaji🤣🤣
tunaenda kujaza wapilinyie utopolo uwanja umejaaa?
Kwa wapenda muziki watakuwa wameburudika vya kutosha. Sisi wengine tunawaangalia tu.Naona bus limeingia muda si mrefu likifuatiwa na VP. ila kwa mida hii naona kama wamechelewa sana
Udake uutunzeMnapoteza muda tu
Zitoke wapi uliona picha kama izo kwenye uzi wao? 🤣🤣🤣
Basi waingereza wangeanza kua mbali.. mbipi weweAsubuhi mpaka jioni ni simba na yanga
Taifa limejaa matahira hili. Hoi energy mnayoweka kufatilia mamipira ya bongo mngeweka kwenye kufanya Innovations na ku movies civic engagements tungekuwa mbali sana.
U.T.I Sugu 🤣
kunywa sumuuuuuuuuuuHili ni tamasha la muziki au ni Utopolo Day?
Kaweke wewe mzee wa sandaAcheni ushamba. Wekeni timu uwanjani