FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium

FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium

Sasa mama ake Lucas Mwashambwa anahusikaje🚮🚮🚮🚮🚮
Mama ni kama Maji usipoyanywa utayaoga tuuu.
Screenshot_20240718-222437_1.jpg
Screenshot_20240718-205347_1.jpg
IMG-20240804-WA0057.jpg
 
Wewe huyo mtoto unamuona kweli? Ni aibu watu wapo jukwaani halafu camera inamuonyesha mtoto anachezea simu na anaongea na simu
Kwanini asingekaa kwa chini ambapo camera haimuonyeshi anafanya hayo mambo ya aibu?

Hili ni tamasha kubwa watu wamelipa hela zao upuuzi ungeekwa pembeni

Hili ni tamasha baya kuliko yote, baadhi ya watu wamelichafua ni kama vile Yanga hawajajipanga.
Hii ndiyo waswahili wanasema kuchamba kwingi ..............................
 
Hivi kumbe VP na Yeye ni Uto?
au Unafiki wa Kisiasa?
 
Back
Top Bottom