Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Tukutane tarehe 8
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma kwenye ubao mkuumtashinda njaa.
Hayo ndio maneno sahihi,kwa mtu sahihi na mwenye akili kubwaMkuu, sehemu za siri ni nyingi kuwa specific. Unataka kukatwa nini tukifungwa? Binafsi tukifungwa nasema hivi, nitasikitika sana na niachwe na masikitiko yangu.
Elewatu kwamba Red Arrows ni watu na chenchiWalivyokuwa wamekamilika hawakupelekewa moto kila sekunde? Kipa aliokoa michomo mingapi? Timu ipi ilitengeneza nafasi za magoli kuliko mwingine? Kama kocha angekuwa ana shida ya matokeo, kipindi cha pili angefanya sub angeweka Aziz Ki, Max, Bacca, Yao na Dube tu wasingeweza kustahimili hata wangekuwa kamili. Kuifunga timu ikiwa pungufu sio jambo jepesi hilo pia ulijue Simba ilitolewa na Mashujaa wakiwa pungufu tena tokea kipindi cha kwanza. Taifa stars ilishindwa kumfunga Zambia waliokuwa pungufu tena walikuwa wanaongoza kwa goli moja.
Ndio ili mjue Yanga hakuna timu inategemea kubebwa pekee halafu mkutane na Surprise yenu. Kwani kabla ya kufungwa goli tano mashabiki mliingia uwanjani na mentality ipi?Ninachoweza kusema refa ameuburuza mwingi amewatengenezea kina Mobeto assist na akapunguza mchezaji
Hahaha, ameamua kutania tu, DR Mambo Jambo anajua umuhimu wa hicho kiungo.Hayo ndio maneno sahihi,kwa mtu sahihi na mwenye akili kubwa
Huyo anaetaka kukatwa kengele apewetu pole
MbelekoSoma kwenye ubao mkuu
Kwakweli ni kiherehere changu maana siyo kwa upuuzi ule nilioshuhudia. Sitarudia tena.Kiherehere chako, shughuli ya watu ulitazama ya nini, mbea mkubwa
Haji kafanya poa sana sema jambo dogo sana hasa la kumuita hamisa sikuona kuna ulazima huoSio Manara?
KabisaHaji kafanya poa sana sema jambo dogo sana hasa la kumuita hamisa sikuona kuna ulazima huo
Sisi wacha tumsupport Alhaj Magoma Hahahah😅😅😅😅Hahahaa. Lol.
Bina nilishamkatalia mie sio mjukuu wake tena. Teh teh. 🤪
watakuwaje nafuraha wakati katolewa bikra kwenye siku zake kuna kidoti ya damu katika shuka jeupeWamefunga Ila hawana furaha
Jamani kweli hivi navyo ni vitu vya kupost? Eti Watu wanakunywa supu??
😂Vp nikujibu?what about ubao unasomaje?
Maneno ya mkosaji.Refa alikuwa man of the match kongole kwake
Mbekeko FC😅😅😅😂Vp nikujibu?
Kumbe refa ni mkosajiManeno ya mkosaji.