Msife tutakosa wa kuwatania. π€£Mimi Ni Simba Ila Hii Yanga Inaweza Kutuua Sisi Mashabiki Wa Simba
Huu mwandiko naujua!Nadaiwa promise hukuuπ©
View attachment 2969275
Una uhakika na unacho kinenaNgoma ya Mtoto haikeshiiiiii makolooπππππππ!
Kipindi cha pili mtanyeshewa mvuaaaaaπππππππͺπͺπͺπͺ!
Cc Smart911
Nikubebe kwenye baiskeliAcha bhasi π€
Ninavyopenda vitu vya kijinga kijinga km zawadi sasa jomooonii π€¦ββοΈπ€
Huyo mzeeNawaza tu hapa akiingia na Augustine Okrah!!
Kuliko Saidoo!!Huyo mzee
Mnong'onezeee mwambie asije zidisha dozi (pombe) ikamletea shida maana pombe sio chai..Kuna jamaa hapa kaongeza chupa 5 za beer na konyagi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan ktk Derby zote, hii haijanistua kabisaa.Kwa jinsi unavyohaha dawa ni muhimu Mtani. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi ubongo wako una ram ndogo sana[emoji23]Mnawezaje kuangalia mpira huku mnachat humu? Mimi nilishashindwa concentration yangu iko juu. Tukutane baada ya halftime yaan Fulltime.