FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

Haya! pressure imekuwa optimum sasa
 
Mechi inaanza saa 11 jioni na sio saa moja usiku.. REKEBISHA
 
Uchambuzi bora wa soka la watani wa jadi leo 20/04/2024 ukiwa huna hata chembe ya mahaba wala ushabiki maandazi "non alignment"

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
Hali ya hewa sio nzuri, hakuna mvua, inatakiwa inyeshe muda huu ili wakati wa mechi hali iwe nzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…