Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Kila lakheri kwa Yanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau kuniletea magimbi na maepo ya kienyeji ukirudi toka huko kijijini ndani ndani Mtani.Nitaongea baada ya mechi..kwa sasa natoka nje ya mji kidogo hakuna network...
Inahusiana vipi na hii mechi?Chakula
Yaani biloko ni wahuni ya kolia ni azam??Wahuni Azam
Wana upumbavu mwingi, natamani hizi thread za mechi ziwe zinapostiwa na mods tu ikiwezekana.Ni upuuzi tu
Safiiiiiiiiii.......Viva Young Africans [emoji172][emoji617][emoji169]
Niwatakie mchezo mzuri, twende tukawaheshimu wapinzani wetu tucheze Soka safi uwanjani, tuzingatie maelekezo ya kocha vizuri na mbinu zake (Gamondi Ball)
Tuachane na Propaganda za mitandaoni zitatutoa mchezoni, soka linachezwa uwanjani
Wakijichanganya wakaingia kwenye mfumo, basi maelekezo ni kama tulivyokubaliana kwenye kikao chetu..
Kuku wetu aliekula mchele asubuhi, jioni tutamla na Wali!
#DaimaMbeleNyumaMwiko
#KariakooDerby
#MimiNiYanga
#Mwananchi
#NbcPremierLeague23/24