Karibu Yanga!Nichomoe nini? Mbona umeanza kunisimanga saana
Who is this guy? πOyaaa [emoji23]
Jezi ya yanga ninayo. Na navalishwa Kwa lazima. Nyinyi mabinti mnaushawishi mnoo.Karibu Yanga!
Nunua na jersey kabisa
Umeoa dogodogo! Mtu mzima mwenzako asingekufanyia hiviπJezi ya yanga ninayo. Na navalishwa Kwa lazima. Nyinyi mabinti mnaushawishi mnoo.
Imagine unaambiwa ili upate papuchi uje na jersey ya yanga.
Ukipenda boga, penda na ua lakeJezi ya yanga ninayo. Na navalishwa Kwa lazima. Nyinyi mabinti mnaushawishi mnoo.
Imagine unaambiwa ili upate papuchi uje na jersey ya yanga.
Maua mengine tabu tupuuu.Ukipenda boga, penda na ua lake
Na kuyaacha huwezi..!!Maua mengine tabu tupuuu.
Hamna namna. Mambo ya β€οΈπNa kuyaacha huwezi..!!
Mshindi weweπ
GoodEnjoy
Bado tu hamkui kimpira kwamba kuongoza kwa ball possession, shots on target, pass accuracy na conners si vigezo vya timu yoyote kushinda mechi?Mimi huwa ni mnyoofu katika thread zangu. Nimeongelea tukio la kweli na si ushabiki. Na si mara ya Kwanza namsema Chama maana ni mchezaji ninayemkubali Sana. Hebu fikiria Simba wangecheza pungufu tangu dakika ya 57 nini kingewapata Jana?
Guede boyWho is this guy? [emoji16]
πππMsife tutakosa wa kuwatania. π€£
Kabeesaaa rafiki. ππAcha waugulie sie waleeeeeeeπππΊπΊπΊπ!
Cc @Snart911
π€ͺπ€ͺπ€ͺ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakati huo ilikua bado.