Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Watafunga kweli? Au wanatupotezea Tu muda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazir mkuu Kassim Majaliwa juzi kasema uzalishaji wa umeme umezidi matarajio.TANESCO Ubungo🙌🙌🙌🙌
Yaani we acha Tuu, Nikakuta TBC wanafanya Uchambuzi, Tena wamesema Mubadhara, Si nikasema mambo si ndio hayo, Hee inakaribia Muda wa Mpira kuanza, Wanasema Tumefikia Ukingoni mwa Kipindi chetu. Nimechoka,
Pimbi mwenyeweee..!Tutawaua pimbi nyie
🦁
Wahi mwanangu, kuna kelele nyingi sana huko utadhani kuna MTU kafumaniwa na Mke wa mjumbeNipo road natoka nduki hapa nipate penye pana jenereta
Asante sanaPole sweetlove...
Hana la kufanya.Benchika afanye nn....kama nafasi kama ile KANOUTE
Wahi mwanangu, kuna kelele nyingi sana huko utadhani kuna MTU kafumaniwa na Mke wa mjumbeNipo road natoka nduki hapa nipate penye pana jenereta
Wazir mkuu Kassim Majaliwa juzi kasema uzalishaji wa umeme umezidi matarajio.
Huenda alikuwa na jeraha kalitonesha.Hii yq inonga imekaaje? Mbona hakuumizwa Serious au ndio maagizo ya wakuu wa giza wa leo?