Hamna player pale, walimsajili kwa bei kubwa ila ni debe tupu.Namuona funguo kama anambwelambwela
Hapana sitengui, nimesema wachezaji wajitoe Mara mbili ndicho ninachokiona.Bado unashikilia hii kauli kauli yako au umetengua?
Wapo wengi tu sema mazingira hayawaruhusu wao kuwepo hapa [emoji23].Huu Uzi Ni wawanasimba tu
Yanga huwa wanaanza ivo ivo Ila Moto wake Sasa
Mara baada ya Simba Sc kufunga CAF nao wameipost kule kwenye page yao, nafikiri hata wao wanaifiatilia hii mechi[emoji23].Kikosi cha pili kinawatesa utopolo, leo tumeamua rasmi kuwaonesha wao sio level yetu ndio maana CAF hawawapi mialiko, waache kelele zao.
Kuna kitasa kinaitwa MamaduuNabi anamwambia mayele viiiipi mbona sikuoni..?
Yule watakuja kumkataa kimataifa, kibaya zaidi yule Kambole mpaka sasa bado wanaona aibu hata kumpa namba.Manywele kakutana na mabeki...
Ngoja Mayele aingie subNabi anamwambia mayele viiiipi mbona sikuoni..?