FT: Yanga 2-1 Simba | Yanga yatwaa Ngao ya Jamii

Halafu mbona Inonga kama anambania sana Outtara? Mfano game ilopita
 
Kwenye biashara hasara huwa zipo lakini Yanga kwa Aziz Ki ni hasara kubwa kuwai kotokea.
 
Watani wakishinda hii mechi tusilaumu wamebahatisha ,wana Morison ,Aziz K ,Bangala ,Aucho, Djuma ,Feisal ,Mayele ,unaona wamekamilika halafu unawapanga Kanuti na Israel Mwenda,... Rubbish ,Kipindi cha kwanza striker ni Kibu tu
Hao jamaa unaowazarau hadi sasa kipindi cha kwanza wamecheza vizuri.ngoja tusubiri kipindi cha pili.
 
Goooh;Simba,Simba,Simba hakuna cha Mayele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…