FT: Yanga 2-1 Simba | Yanga yatwaa Ngao ya Jamii

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji849][emoji1787][emoji3][emoji23][emoji28][emoji23]
 
Asante sana mwanasimba mzalendo kwa kukubali kupachikwa mimba pacha
 
Sielewi kivipi kocha hakuiona combination safi ya Okra, Okwa, Chama na Sakho. Unaenda kumtoa Chama ambaye alikuwa kwenye form nzuri kabisa. Fukuza Matola haraka Sana. Hii haikuwa game ya kupoteza kabisa. Matola achunguzwe.
Hata mimi nashangaa kwanini alimtoa chama wakati first half alikuwa vizuri..ujinga sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…