Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Mtani sema yataendelea. Teh teh.Yatapita tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtani sema yataendelea. Teh teh.Yatapita tu
Muache midomo, mlienda kuzurura Uturuki mkadhani ndio kupata matokeoBasi bana
int Hongera😀 😀 sawa Mkuu.
anamtoaje chama anamweka mzamiru? Anamwacha kapombe anamweka Mwenda hata kupiga krosi ni ishu, anamweka Kyombo anamwacha Phiri ,halafu Kanuti wa nini?Nani hakucheza?
AmeishaWapiiiiiiiiii cocastic
Ndio ndio.Sana, tumeukata
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji28][emoji23][emoji1787][emoji4][emoji12]Kinachowauma simba sio kufungwa goli mbili bali mfungaji kuwa mayele inauma sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
anamtoa chama na kumwingiza mzamiri , halafu anamwachaje Phiri mchezaji professional player ? Anamwingiza Mwenda anamwacha kapombe ,shameless
Niliambiwa jambo toka siku nyingi kuhusu yuke mwanamke wa simba nikalipa muda lkn naona kila siku maneno yanatimia simba wasipomtimua yule mwanamke watafungwa kila siku na Yanga....Sana, tumeukata
Tuna kocha wa hovyo sana.. ni kama tu wa ile timu iliyofungwa na Brentford 4Nimeumia sanaaaa
Eti Ka Zuchu kalitudhihaki ile siku ya simba day kwa kusema eti utopolo ni wake zetu tu! Leo yako wapi!!Simba 3 vs Yanga 2
Magoli ya simba
Sakho [emoji460]️
Zuchu [emoji460]️
Irene uwoya[emoji460]️
Magoli ya Yanga
Mayele [emoji460]️[emoji460]️
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Niliambiwa jambo toka siku nyingi kuhusu yuke mwanamke wa simba nikalipa muda lkn naona kila siku maneno yanatimia simba wasipomtimua yule mwanamke watafungwa kila siku na Yanga....
NimeachaSawa,sasa punguzeni ngebe
Hapa ndipo alipojifungaanamtoa chama na kumwingiza mzamiri , halafu anamwachaje Phiri mchezaji professional player ? Anamwingiza Mwenda anamwacha kapombe ,shameless
Kwisha habari yako.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mpira umechezwa, soka safi na kuvutia.
Matokeo yameamua yupi aondoke na ngao. Ila kandanda limetulizwa.
Simba wachezaji wanaotakiwa kupewa namba niPhiri hakuwepo Kabisa. So Far Simba Ina Timu nzuri sanaa.
Okrah, Okwa Na Chama Wako moto sanaa.. Leo sijaona tatizo pale Katikati ila Mbele mtu kama Phiri Anahitajika sana kwasababu Ya Nguvu na Akili ya Mpira tuombe Derby ijayo awe Vizuri tuoneshe ubora wetu
So Far Simba Ya Msimu huu ni nzuri sanaa… Matola Tuu ana Mshauri vibaya Zoran
Tatizo kubwa simba ni yule mwanamke ndio anauza timu asipotoka yule utaumia kila siku huwez ona kwa machoNimeumia sanaaaa