FT: Yanga 2-1 Simba | Yanga yatwaa Ngao ya Jamii

FT: Yanga 2-1 Simba | Yanga yatwaa Ngao ya Jamii

Kipindi cha kwanza Simba inaongoza goli moja na ball possession, Kocha akaona msinitanie...akamtoa Chama nje basi roho yake ikawa kwatu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnoooo.
 
Poleni sana watani. Hakikabwakati fulani mpira una matokeo ya kikatili sana. Poleni sana akina Scars, Kalpana, cocastic Proved, GENTAMYCINE my dear friend hata kama uko kifungoni! Na wengineo wengi.

Tukutane kwenye ligi. Hakika timu zote mbili zimecheza vizuri ndani ya dk 90! Imekuwa tu bahati kwa Yanga kushinda hii mechi. Ila hata nyinyi pia mlikuwa na nafasi ya kushinda.
Mkuuu nakukubali sana wewe ni mgwana sana, Tujifunze kwako niseme tu timeshinda kwa mbinu ya kocha Nabi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kusi chindu wenga, ndondokela tyuuh.
NLETE NDHUNGUU..!! NLETE NDHUNGUU..!! NLETE NDHUNGUU..!! NLETE NDHUNGUU..!! NDONDOKELA IHUMI KWOKHII??
 
b3da23752040e52c9ccbe8fdbf042cd3.jpg
 
Na dalili ya kwamba hamna kitu mle angalia mzungu aliyemleta. Tizama hata sub zake! Hajui hata mtu kama chama anafanya nini uwanjani kuunganisha timu. Kiufupi simba mwaka huu tena imepigwa na kitu kizito.
Hivi nyie viongozi wa simba mtatoa excuse gani yanga anatudunda mara mbili mfululizo kama underdogs
HUU NI UPUMBAVU NA HAUVUMILIKI.
 
Back
Top Bottom