Waminyato
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,197
- 4,525
Au huyu kocha wetu alibeti nini Ubwa huyu?Kitendo cha kumtoa chama, aliniboa mnoo. Khaaaah.
Sijui aliwaza nn.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au huyu kocha wetu alibeti nini Ubwa huyu?Kitendo cha kumtoa chama, aliniboa mnoo. Khaaaah.
Sijui aliwaza nn.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnoooo.Kipindi cha kwanza Simba inaongoza goli moja na ball possession, Kocha akaona msinitanie...akamtoa Chama nje basi roho yake ikawa kwatu.
Hivi kwanini wamefanya upuuzi ule Lakini!!?!??Wale waliobeba mango ya Samia ndio wametutia nuksi
Mkuuu nakukubali sana wewe ni mgwana sana, Tujifunze kwako niseme tu timeshinda kwa mbinu ya kocha NabiPoleni sana watani. Hakikabwakati fulani mpira una matokeo ya kikatili sana. Poleni sana akina Scars, Kalpana, cocastic Proved, GENTAMYCINE my dear friend hata kama uko kifungoni! Na wengineo wengi.
Tukutane kwenye ligi. Hakika timu zote mbili zimecheza vizuri ndani ya dk 90! Imekuwa tu bahati kwa Yanga kushinda hii mechi. Ila hata nyinyi pia mlikuwa na nafasi ya kushinda.
NLETE NDHUNGUU..!! NLETE NDHUNGUU..!! NLETE NDHUNGUU..!! NLETE NDHUNGUU..!! NDONDOKELA IHUMI KWOKHII??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kusi chindu wenga, ndondokela tyuuh.
Alipomtoa chama ndipo mayele akasema yes mbabe wa dimba katoka, ngoja nikiwasheee.Au huyu kocha wetu alibeti nini Ubwa huyu?
Sasa kama Mzamiru si mchezaji, kwanini hakuachwa kwenye usajiri?BORA HATA JEZI ZIMECHELEWA HIYO 35,000 BORA NIKALE NYAMA NA BIA.
UNAMTOA CHAMA UNAMUINGIZA MZAMIRU? KWELI MZAMIRU NI MCHEZAJI?...KYÓMBO, MWENDA UNAMUACHA NJE BANDA NA PHIRI
Ihumi Pa chiwanja.NLETE NDHUNGUU..!! NLETE NDHUNGUU..!! NLETE NDHUNGUU..!! NLETE NDHUNGUU..!! NDONDOKELA IHUMI KWOKHII??
Kwani Chama alikuwa anamkaba Mayele? Mlongo nielimishe hapo..!!Alipomtoa chama ndipo mayele akasema yes mbabe wa dimba katoka, ngoja nikiwasheee.
Choniii namyakuuu..!!Ihumi Pa chiwanja.
Ki uhalisia ukiona first eleven ya Simba na Yanga unaweza kutabiri matokeo
Hivi nyie viongozi wa simba mtatoa excuse gani yanga anatudunda mara mbili mfululizo kama underdogs
HUU NI UPUMBAVU NA HAUVUMILIKI.
Weeeeeee..!!! uthimthingidhie kipa..!!! Yote mawili ya mabekiPia golini kuna shida kubwa. Magoli yote mawili kipa mzuri ana serve.
Kwamba nani atashinda?Ki uhalisia ukiona first eleven ya Simba na Yanga unaweza kutabiri matokeo
acha tuNimeumia sanaaaa
🤣😂🤣😂🤣🤣😂🤣🤣 Kimenatana..Poleni sana mkuu, mtachomoa siku nyingine😁😁
hiyo nayo ni hoja lakini huyu bwana ramli zake kuhusu matokea hajaanza kwenye uzi huu hapo kapigilia msumari utabiri wakeKi uhalisia ukiona first eleven ya Simba na Yanga unaweza kutabiri matokeo