Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Sasa kama yule alikwenda dubai ndio katandikwa tobo lile.
Vipi sisi wa Mpitimbi huku?
Vipi sisi wa Mpitimbi huku?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtarudi kwani mlikuwa mnaenda wapi?Ni kweli Inonga alistahili nyekundu straight....
Simba imepoteza ila bado ina timu nzuri sana tu sema sub za kocha zilitugharimu.
Tutaonana kwenye ligi inshaallah na michuano ya CAF tutarudi na kasi ya kutisha.
Tuache kumsingizia mwanamke wawatu.Tumefungwa kwa kuzidiwa mbinu.Wakati kocha wa yanga anampeleka aziz ki katikati uku akiingiza winga zakukimbiza sisi uku tukatoa viungo wawili wazoefu wa derby kwa mkupuo bila kujua lile lilikua kosa lakiufundi.Sasa hapo mechi imeuzwa wapi?Tatizo kubwa simba ni yule mwanamke ndio anauza timu asipotoka yule utaumia kila siku huwez ona kwa macho
Na sako si alichezewa rafu mbaya pia na kibwana iliyostahili kadi au ndo mahaba niueNi kweli Inonga alistahili nyekundu straight....
Simba imepoteza ila bado ina timu nzuri sana tu sema sub za kocha zilitugharimu.
Tutaonana kwenye ligi inshaallah na michuano ya CAF tutarudi na kasi ya kutisha.
😀😀😀Huyu kipa nae mizinguo. Anathibitisha ni kipa namba mbili.
Bora mmekufa mkiwa full, Saizi mngekuwa mnasingizia tulicheza pungufuNa sako si alichezewa rafu mbaya pia na kibwana iliyostahili kadi au ndo mahaba niue
Unaota mkuu😂😂Eeeh gooooooooal kibudenga anasawazisha hapa
Simba 4
Yanga 2..
😂😂😂😂
Kwanza yule mzee hafai hata kuitwa jina kocha, yule babu ni fundi Bomba.Nchi za wababe kama waarabu yule analambwa kichuri kabla ya kutolewa mbio Nchini mithili ya paka shumeMULE HAKUNA KOCHA AISEE, YANI HAKUNA KABISA HAKUNAA KOCHAAAAAAAAAAAAAAAAA KOCHA LA KYOMBO NA MWENDA SI UJINGA HUO.
BAHATI NZURI WANASIMBA WENGI WALIVYOONA KIKOSI WALISHAJUA KIPI KITAFUATA
Wabongo ujuaji mwingi sana, mechi kufungwa au kushinda ni kawaida,sasa siiooo amekosea wapi.......watu hao ndiyo fuata upepoTuache kumsingizia mwanamke wawatu.Tumefungwa kwa kuzidiwa mbinu.Wakati kocha wa yanga anampeleka aziz ki katikati uku akiingiza winga zakukimbiza sisi uku tukatoa viungo wawili wazoefu wa derby kwa mkupuo bila kujua lile lilikua kosa lakiufundi.Sasa hapo mechi imeuzwa wapi?
Tatzo yule mwanamke tutafungwa sana tuJamani Simba imeniumiza Sana ila tumpe muda kocha ila inauma japo ndio mchezo ila Kama shabiki wa Simba na Man u ndio wenge linapoanzia
Sisi tupo uwanja wa taifa wewe unacheki wapi..Unaota mkuu😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una manyakq veve, haya ugona bwina.Lazima nimekai..!!! Ligoli la kavele lipeti pagatipagati pa magulu ga Inonga..!!!
Kaa kwa kutulia mlitaka nan afungwe???Hivi nyie viongozi wa simba mtatoa excuse gani yanga anatudunda mara mbili mfululizo kama underdogs
HUU NI UPUMBAVU NA HAUVUMILIKI.
Simba leo ni kama fisi tu, halina meno😂😂Sisi tupo uwanja wa taifa wewe unacheki wapi..
Simba ni lidude likuuuuubwa