Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii mechi kocha nabi kaimaliza yeye amini hivyo.Nisemosa comments zote hongera sana wana Yanga wenzangu tuna timu nzuri, ila tuna kocha mzuri sana sana Mungu atujalie tunaweza kufanya vizuri huko juu, nilisikiliza uchambuzi wa Ali kabwe aseé yule dogo nisupa sana alichokisema ndicho kocha alifanya sec 2 tulikuwa bora sana.
Nakumbuka maneno ya Nabi, alimwambia kocha wa simba karibu sana bingo.
Yule popoma amejinyonga nmempa kipigo cha mbwa koko kavimba hatariiiiKwani GENTAMYCINE anasemaje[emoji16]
Yanga tuna pisi kali na kichwani ziko fiti.Simba leo ni kama fisi tu, halina meno😂😂
Hivi huwa wanalazimishwa kuyabeba?Wale waliobeba mango ya Samia ndio wametutia nuksi
Banda hajawahi kuwa msaada hata siku moja, yeye ni kukimbia, kudondoka na kupiga njeBORA HATA JEZI ZIMECHELEWA HIYO 35,000 BORA NIKALE NYAMA NA BIA.
UNAMTOA CHAMA UNAMUINGIZA MZAMIRU? KWELI MZAMIRU NI MCHEZAJI?...KYÓMBO, MWENDA UNAMUACHA NJE BANDA NA PHIRI
Simba kama ni muziki ungekuwa Singeli.Ushauri wangu kwa watu wa Simba mjifunze kupunguza kelele, mnaboa sana.
Game ya leo sikutaka kuangalia nyumbani nikajichanganya mtaani kuangalia game, kwakweli watu wa Simba hawana ustaarabu halafu wanajiamini kwa timu ambayo tukiweka ushabiki pembeni haina quality kama Yanga.
Pili mpira ni mpaka refa amalize mechi, watu wa Simba wengi hawalijuhi hili.
Niliokuwa naangalia nao mechi niliwaambia ogopa Yanga akitangulia kukufunga hurudishi, Ila Yanga ukiwapiga wanarudisha na wataongeza, leo naonekana kama mnajimu wakati sina unajimu wowote fact ziko wazi.
Leo mji upo kimya wapiga kelele wanalala na viatu, watu wa Simba badilikeni.
Ni ve nau, ugona bwina mlongo. Galelu aga ukoto kuhamba nagu mundoto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una manyakq veve, haya ugona bwina.
Chilau hinu.
🤣🤣🤣🤣🤣waambieMliposhinda kwenye bonanza hizi ngonjera hatukuziona,nyuzi zilijaa tele hapa JF mkisifu na kuabudu kana kwamba mmeotea dhahabu uchochoroni!.
Huu ni mwanzo tu Makolo nyie,mtapata taabu sana![emoji2][emoji2]
Unabishana na mjukuu wa Mwamlima?Uli mtunguru
🤣🤣🤣🤣 Na huyu nae mtasema shahidi wa jehova 🤣🤣🤣🤣Hivi viongozi hawa mafundi bomba wa rangi nyeupe huwa wanawatoa wapi?? Au ndio yale mambo ya tenpercent. kocha anabahatisha mpira kama kilimo cha nyanya
Akitokeza kichwa nistue🤣🤣🤣Kwani GENTAMYCINE anasemaje[emoji16]
Mlongo, mtu wa kutofua dafu anawezaje kufunga mawali?Hakua anamkaba ila alikua achezesha sana pale kat, huyo mayele hakua anafua dafu.
Rudi hapa weweeeeePole sana bro
Acha uongo wako nawee, mbna kwa vipers hamkurudisha???Ushauri wangu kwa watu wa Simba mjifunze kupunguza kelele, mnaboa sana.
Game ya leo sikutaka kuangalia nyumbani nikajichanganya mtaani kuangalia game, kwakweli watu wa Simba hawana ustaarabu halafu wanajiamini kwa timu ambayo tukiweka ushabiki pembeni haina quality kama Yanga.
Pili mpira ni mpaka refa amalize mechi, watu wa Simba wengi hawalijuhi hili.
Niliokuwa naangalia nao mechi niliwaambia ogopa Yanga akitangulia kukufunga hurudishi, Ila Yanga ukiwapiga wanarudisha na wataongeza, leo naonekana kama mnajimu wakati sina unajimu wowote fact ziko wazi.
Leo mji upo kimya wapiga kelele wanalala na viatu, watu wa Simba badilikeni.
Kheeeee..!! Uli nkonyofu..!!Uli mtunguru
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya bas relaaaaaaax sasa.Mlongo, mtu wa kutofua dafu anawezaje kufunga mawali?
Jaja alikuwa mwarabu kumbeHistoria inakupinga. Labda useme hakuna derb ambayo mchezaji mwenye asili ya kizungu alifunga ili ikitokea ndo historia ianzie hapa.