Night Watch
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 2,092
- 2,126
Kocha siyo mzuri yes, lakini usajili mzuri sana, mpira una matokeo ya kufungwa, kushinda ama Kudrow, bahati mbaya Yanguwanatubahatisha sana siku hizi, lakini ndiyo mpira, kocha mpya simkubali, lakini mechi ya leo Matola ndiyo amezingua nawaambia. so far timu ni nzuri sana, Chama mpira anaocheza umepitwa na wakati anapoozesha sana mpira
Hawa Makolo wana ujinga mwingi sanaUshauri wangu kwa watu wa Simba mjifunze kupunguza kelele, mnaboa sana.
Game ya leo sikutaka kuangalia nyumbani nikajichanganya mtaani kuangalia game, kwakweli watu wa Simba hawana ustaarabu halafu wanajiamini kwa timu ambayo tukiweka ushabiki pembeni haina quality kama Yanga.
Pili mpira ni mpaka refa amalize mechi, watu wa Simba wengi hawalijuhi hili.
Niliokuwa naangalia nao mechi niliwaambia ogopa Yanga akitangulia kukufunga hurudishi, Ila Yanga ukiwapiga wanarudisha na wataongeza, leo naonekana kama mnajimu wakati sina unajimu wowote fact ziko wazi.
Leo mji upo kimya wapiga kelele wanalala na viatu, watu wa Simba badilikeni.
Strange decision to say the leastMayele ni foward yule siyo mzungu
Yule chingreza anajua kweli au ndio kama sie tuuMayele ni foward yule siyo mzungu
Kocha siyo mzuri yes, lakini usajili mzuri sana, mpira una matokeo ya kufungwa, kushinda ama Kudrow, bahati mbaya Yanguwanatubahatisha sana siku hizi, lakini ndiyo mpira, kocha mpya simkubali, lakini mechi ya leo Matola ndiyo amezingua nawaambia. so far timu ni nzuri sana, Chama mpira anaocheza umepitwa na wakati anapoozesha sana mpira
Ikawaje?Utopolo wamepoteana..
Tatizo lako wewe shoga unaongea sanaHapa pana hatrick nyie tulieni
We shoga upo?Utopolo kweli tunawafunga na hiki kikosi?! kuanzia leo nyie sio washindani wetu tena...
Haya majamaa ni mambumbumbu kama Rage alivosema. Kuna watu humu baada ya mechi na wahabeshi waliandika madhaifu ya timu lao ila walitukanwa nakebehi juu. Ila sasa yanaongea yaleyale yaliyoambiwa yakaanza kutukana. Nini shida nyie mbumbumbu?Mliposhinda kwenye bonanza hizi ngonjera hatukuziona,nyuzi zilijaa tele hapa JF mkisifu na kuabudu kana kwamba mmeotea dhahabu uchochoroni!.
Huu ni mwanzo tu Makolo nyie,mtapata taabu sana![emoji2][emoji2]
Jaja alifunga vs Azam kama sijakoseaJaja alikuwa mwarabu kumbe
Kabisaa, washabiki wa simba Wana kelele mpaka wanaboa.Ushauri wangu kwa watu wa Simba mjifunze kupunguza kelele, mnaboa sana.
Game ya leo sikutaka kuangalia nyumbani nikajichanganya mtaani kuangalia game, kwakweli watu wa Simba hawana ustaarabu halafu wanajiamini kwa timu ambayo tukiweka ushabiki pembeni haina quality kama Yanga.
Pili mpira ni mpaka refa amalize mechi, watu wa Simba wengi hawalijuhi hili.
Niliokuwa naangalia nao mechi niliwaambia ogopa Yanga akitangulia kukufunga hurudishi, Ila Yanga ukiwapiga wanarudisha na wataongeza, leo naonekana kama mnajimu wakati sina unajimu wowote fact ziko wazi.
Leo mji upo kimya wapiga kelele wanalala na viatu, watu wa Simba badilikeni.
Unasema?Kwenye biashara hasara huwa zipo lakini Yanga kwa Aziz Ki ni hasara kubwa kuwai kotokea.
Mimi kuongea sana kwa hiyo ndio nishakua shoga sasa sindio?Tatizo lako wewe shoga unaongea sana
Well saidMimi kuongea sana kwa hiyo ndio nishakua shoga sasa sindio?
Kuna sababu nyingine nje na hapa ambayo mimi nilishawahi kukukosea au ni huu huu mpira tu?
Haya wacha nikuache na furaha yako uliyoipata baada ya ushindi japo lugha unayotumia kufurahia ushindi huo sio nzuri kwangu na hata kwa Yanga wenzako walio staarabika
Upo wewe na kuna huyu Matola nawe niliona ile post yako ya matusi nikaiacha tu
Ila mngekuwa mnajiuliza licha ya mimi kutotoa matusi kwanini hamnioni kutumia majina machafu kuwaita (kinyesi) kama ambavyo wengine wanawaita mngejifunza namna ya ku filter maneno.