Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,680
- 2,889
Angekanyaga shingoo kabsaKwanini Inonga hamkumkanyaga jamaa Koromeo ili tuwazike kweli
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekanyaga shingoo kabsaKwanini Inonga hamkumkanyaga jamaa Koromeo ili tuwazike kweli
Mpira sio vitaKwanini Inonga hamkumkanyaga jamaa Koromeo ili tuwazike kweli
Hii ni ligi ya bongo maamuzi anayo mwamuzi [emoji3][emoji16]Ni mara ya pili tena Enock Inonga anajatlribu kufanya faulo ambayo sio ya kimichezo.
- Mwanzoni kafanya kwa Fei Toto
- Halafu kafanya tena kwa Sure Boy
Laiti kama mwamuzi angekuwa makini alistahili kupewa kadi nyekundu [emoji837].
Kwani Azizi Ki hajacheza?wanakung'utwa mpaka Wamepaniki
Acha kukariri.mpira hauko hivyo.Yaani Kapombe sub,Okra ,okwa .
Dah ,kweli Kanuti na Israel Mwenda na walizingua mechi iliyopita
Anabalance Kwa maslahi ya nani?Refa kashindwa kubalance game
Wewe mbona umeshindwa kuficha mahaba yako?
Ulitaka apigwe RED CARD? Basi hata kwa Aucho ilitakiwa kuwa hivyo.Tuna marefa wasenge sana nchi hii
Simba Imara Simba ImaraYanga makopo Yanga makopo
Simba Nguvu Mojaaaaaa
Inonga amekua fala sana, sifa kibao Mimi ni mwanasimba lakini ule aliocheza ni upuuuzi
Tuombe iwe hivyo, huku tukiombea Simba wasifunge tena... simba pia inaweza kukosea na Yanga kusawazisha, na pia kuongeza goli la ushindi.
Ni fala sana huyu mchezaji. Ni mchezaji mzuri ila anapenda sifa za kijinga za kucheza na jukwaa.Ila huyu Inonga aache sifa za kijinga anaweza kutucost game kubwa kama zile za CAF.
Binafsi nalaumu sisi mashabiki, tunashangilia mchezaji akifanya mambo ya kipuuzi yasiyo na faida kwa timu.
Jinga weweWatani wakishinda hii mechi tusilaumu wamebahatisha ,wana Morison ,Aziz K ,Bangala ,Aucho, Djuma ,Feisal ,Mayele ,unaona wamekamilika halafu unawapanga Kanuti na Israel Mwenda,... Rubbish ,Kipindi cha kwanza striker ni Kibu tu
Kina sifa fulani za kisenge zisizo hata na tija mi hua kinaniboa hapo tuInonga amekua fala sana, sifa kibao Mimi ni mwanasimba lakini ule aliocheza ni upuuuzi
RememberKwanini Inonga hamkumkanyaga jamaa Koromeo ili tuwazike kweli