900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
weka za kwako mbona umeumiakwamba mechi ijayo wanakutana na nyau ama umeamua kutunga sababu zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
weka za kwako mbona umeumiakwamba mechi ijayo wanakutana na nyau ama umeamua kutunga sababu zako
niumie nimesha chapa mtu 2-1, point 5 juu ya nyau nasubiri tu nicheze mechi zakeweka za kwako mbona umeumia
utazidi kushindiliwa tu mwiko kwa nyuma bado mechi 2 mkononi na zote anashinda na treh 8 unakula 3-0niumie nimesha chapa mtu 2-1, point 5 juu ya nyau nasubiri tu nicheze mechi zake
najua una andika huku unaogopa, una timu ya kunifunga wewe ama wasubiri nkuchape uanze kuimba kibwagizo cha GSM ana haribu ligi, GSM katoa bahasha kwa kamarautazidi kushindiliwa tu mwiko kwa nyuma bado mechi 2 mkononi na zote anashinda na treh 8 unakula 3-0
😄😄😄😄😄 una mambo wewe haya karibu kwa Wananchi, wana wa Jangwani huku raha tu. Genius Man Hlafu mbona huwa nahisi wewe ni kipenseli? Mwenye ID nyingi humu? Aione kikiboxerna mimi kuanzia leo yanga naomba Bantu Lady unipokee kwa ukaribisho
Genius ni mmoja tu,😄😄😄😄😄 una mambo wewe haya karibu kwa Wananchi, wana wa Jangwani huku raha tu. Genius Man Hlafu mbona huwa nahisi wewe ni kipenseli? Mwenye ID nyingi humu? Aione kikiboxer
Hehehe, kumpokea kijana Jangwani sio kesi kabisa, kesi yangu nae ni kwanin achague wewe umpokee? ananitafuta ubaya.😄😄😄😄😄 una mambo wewe haya karibu kwa Wananchi, wana wa Jangwani huku raha tu. Genius Man Hlafu mbona huwa nahisi wewe ni kipenseli? Mwenye ID nyingi humu? Aione kikiboxer
😄😄😄😄😄 una mambo wewe haya karibu kwa Wananchi, wana wa Jangwani huku raha tu. Genius Man Hlafu mbona huwa nahisi wewe ni kipenseli? Mwenye ID nyingi humu? Aione kikiboxer
mkuu nyie ni marafiki tu nimemchagua yeye kati ya mamilion kwasababu yeye ni wangu na mimi ni wakeHehehe, kumpokea kijana Jangwani sio kesi kabisa, kesi yangu nae ni kwanin achague wewe umpokee? ananitafuta ubaya.
BTW kipenseli ndio nini
Okay mkuu hongera kwa kuwa wake.mkuu nyie ni marafiki tu nimemchagua yeye kati ya mamilion kwasababu yeye ni wangu na mimi ni wake