Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
jamaa wamefungwa mechi imeisha na bado wana furaha😆😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe muamala ulikuwa haujasoma ndo wakakumbushwa.Ila tuache utani, hii Yanga ni mbovu mno. Mechi kama hii ya mipango unapata ushindi wa papatu?
Hapana ila Sowah kafunga kwa ustadi tuniambieni hilo moja ni kama ule mshuti wa dogo sele bwenzi, penalty au header?
kagoli kakizembe tu katada katema mpiraniambieni hilo moja ni kama ule mshuti wa dogo sele bwenzi, penalty au header?
Simba sc wakikaza mechi zao kwa hizi mechi ndogo ndogo washinde zote ikiwemo ya azam , Simba sc watakuwa mabingwa wa Nbc premier league. Kila mtu ashinde mechi zake ila mechi ya tarehe 8 March 2025 nimeshaiona kwenye ulimwengu wa roho , Simba sc wataibuka na ushindi dhidi ya yanga sc . Magoli yote yatakayo fungwa tarehe 8 March 2025 nimeshayaona ila kuna goli moja atafungwa diarra baada kugusa mpira kwa uzembe, mpira atakaopigiwa na mchezaji wa Simba sc,kutokana na uzembe huo, mpira utampita diarra kwapani na kuingia golini. Baada kufungwa goli hilo ambalo litakuwa dakika za kipindi cha pili , katika ulimwengu wa roho niliona wanayanga wanasonya tu kwa hasira huku dakika zikiendelea kuyoyoma na Simba sc wakiendelea kupeleka mashambulizi kwenye lango la yanga.Hamrudi kileleni ng'oo
Au una wivu untaka ufungwe wewe tu kolo wenzio wasifungwe?
Hahahaaa. Kwa kweeeli.Kutoka mwaka 2020 mpaka 2025 kwenye LIGI KUU - Yanga amepoteza mechi 1 dhidi ya Makolo. Miaka 6 ni mingi😂 leo wana nguvu kabisa na wanapaza sauti Singida ni dhaifu kwa Yanga. Aliyewahi kusema Tanzania ni channel ya vichekesho wala hakukosea. 😂🙌🏼 CC Bantu Lady ephen_ Shadeeya View attachment 3239300
Diara Kuna namna yakumuacha huu Msimu
Kwa kipa huyu Diara, Yanga jiandaeni kisaikolojia tarehe 8 MachiUkiona Singida kaonewa leta timu yako, Ukiona Singida kaonewa , angalia matokeo yako dhidi ya Yanga ulishawahi kupata ata sare katika michezo mi nne iliyopita?
Wacha kuwashtua.Wacha waweke hilo shati.Kwa kipa huyu Diara, Yanga jiandaeni kisaikolojia tarehe 8 Machi
Sio game za yanga TU hazina mvuto, ligi nzima haina mvuto hakuna mechi yenye mvuto ni Bora liende, nakushauri usiwe serious na mpira wa bongo hakuna kitu, kama Leo hunielewi muda SI mrefu utanielewa...ligi haina ushindani ni Bora liende.Games za Yanga hazina mvuto sijui kwa Nini.