Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Hii inatakiwa iitwe Singida Small Yanga aka Small Utopolo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye ajira kuna kitu kinaitwa A.O.BTuwaombee sana wachezaji wa Singida, wanapitia mengi. Ni kazi kubwa sana kwenda kwenye mechi unaambiwa uvuje jasho ila kwa vyovyoye vile ufungwe.
Ndio hakuna janja janja.Kule hakuna Janja janja
Enzi za Nabi hamkuwa matapeli. Mlipambana. Mlipoanza utapeli kocha akakimbia.Ndio hakuna janja janja.
Ndio maana Yanga alicheza fainali ya kombe la shirikisho ambalo nyie makolo mnatambia nalo na hamna uhakika wa kuingia fainali kama yanga.
Ila tuache utani, hii Yanga ni mbovu mno. Mechi kama hii ya mipango unapata ushindi wa papatu?Kwenye ajira kuna kitu kinaitwa A.O.B
Huyu jamaa aliyefunga hapati mgao.
Ana mkataba mgumu kama wa Baleke, hadi 2027Diara Kuna namna yakumuacha huu Msimu
Itakua anabetig uyu sio bure haha ,anajiwekea yanga ipigwe goli moko.anaweka mpunga mrefu hahaDiara Kuna namna yakumuacha huu Msimu