FT | Yanga 2-1 Singida Black Stars | NBC Premier League | KMC Complex | 17.02.2025

FT | Yanga 2-1 Singida Black Stars | NBC Premier League | KMC Complex | 17.02.2025

Simba wanaona wivu sana Watu wengine wakifungwa na Yanga. Kwani mnataka muwe mnafungwa pekeyenu??? ??? Kwasababu mmefungwa mara nne mfululizo basi mnadhani nyie ndio wake halali wa Yanga? Hamtaki na wengine waliwe???? Mtulie kila mmoja atafungwa zamu yake ikifika. Hii ni ndoa ya kiislamu. Mitala ruksa
 
Hivi Mashabiki wa Simba mnaongea nini😅😅😅 mmecheza na prisons wanacheza nusu uwanja wanawaacha kina Zimbwe wanacheza kwenye box lao dakika 45 zote za kwanza hao wakina ngoma wanapasiana pasi kama wako mazoezini wanakabia macho utasema mpira umesimama na mkafunga 3 tukanyamaza😅😅
Kipindi cha 2 wakaja kukaza mkaondoka na 3 zenu zile zile! Nawaambia Timu zikiwakazia kama JKT au kama wanavyokaziana wao kwa wao mtaondoka na point moja kila mechi! SIngida hata wapange first Eleven yao ya nje Kwanzia kwa Imoro hawatoboi bado hawa Combination na ndo mana match 2 hizi kwanzia ya JKT Rupia/Sowah hawaanzi pamoja hao wakina Arthur hata wakicheza na Kengold wanatokeaga Sub
Pokou mwenyewe hachezeshwagi dakika 90
Tatizo hamuangaliagi match tofauti na za Simba na yanga
 
Usiwe serious na ligi ya bongo, hakuna mpira hapa...hii ligi haina ushindani ni ligi ya timu mbili wala usipoteze muda wako kuangalia mechi za hii ligi.
Huwa nashangaa mpaka watu wanauana kisa utopolo kama huu.
 
Mpira wowote ukianza kuuliza integrity(uadilifu) wa league au team ujuwe kuna shida kubwa sehemu. Tufanye uchawi tufanye na mengine yote lakini tusifike huku athari zake ni kubwa sana kibishara na mpira wa nchi. Wenzetu ulaya hata mchezaji mfano alikuwa ana support Man au Liverpool akaenda kucheza team nyingine anapigana aifunge team anayoipenda. Hili suala la Singida ni lazima liangaliwe kwa umakini sana lisiachwe hivi, inakuwa sio sawa kwa team moja kubwa kuwa na team ndogo ikiwasaidia kwenye malengo yao, haipendezi kwa mpira wetu.
 
Usiwe serious na ligi ya bongo, hakuna mpira hapa...hii ligi haina ushindani ni ligi ya timu mbili wala usipoteze muda wako kuangalia mechi za hii ligi.
Hahaha.
 
Hivi Mashabiki wa Simba mnaongea nini😅😅😅 mmecheza na prisons wanacheza nusu uwanja wanawaacha kina Zimbwe wanacheza kwenye box lao dakika 45 zote za kwanza hao wakina ngoma wanapasiana pasi kama wako mazoezini wanakabia macho utasema mpira umesimama na mkafunga 3 tukanyamaza😅😅
Kipindi cha 2 wakaja kukaza mkaondoka na 3 zenu zile zile! Nawaambia Timu zikiwakazia kama JKT au kama wanavyokaziana wao kwa wao mtaondoka na point moja kila mechi! SIngida hata wapange first Eleven yao ya nje Kwanzia kwa Imoro hawatoboi bado hawa Combination na ndo mana match 2 hizi kwanzia ya JKT Rupia/Sowah hawaanzi pamoja hao wakina Arthur hata wakicheza na Kengold wanatokeaga Sub
Pokou mwenyewe hachezeshwagi dakika 90
Tatizo hamuangaliagi match tofauti na za Simba na yanga
Mashabiki wa Simba hawapo timamu.
 
Mpira wowote ukianza kuuliza integrity(uadilifu) wa league au team ujuwe kuna shida kubwa sehemu. Tufanye uchawi tufanye na mengine yote lakini tusifike huku athari zake ni kubwa sana kibishara na mpira wa nchi. Wenzetu ulaya hata mchezaji mfano alikuwa ana support Man au Liverpool akaenda kucheza team nyingine anapigana aifunge team anayoipenda. Hili suala la Singida ni lazima liangaliwe kwa umakini sana lisiachwe hivi, inakuwa sio sawa kwa team moja kubwa kuwa na team ndogo ikiwasaidia kwenye malengo yao, haipendezi kwa mpira wetu.
Pole kwa maumivu kolo.
 
Pole kwa maumivu kolo.
Kwa bahati nzuri mimi ni katika watu wachache sina uchungu na team yoyote Tanzania, nikiri utotoni nilikuwa na mpenzi makubwa na Simba lakini kwa sasa sina mapenzi hayo kabisa wala sishabikii team na kiujumla siangalii sana labda niwe sina kazi na hakuna mpira EPL. Haya ma team yenu ya bongo mbaki nayo tu sababu hakuna kitu team zote. Mimi ni EPL nakufa na Liverpool. Nimeongea kama mshabiki wa mpira.
 
Back
Top Bottom