FT | Yanga 2-1 Singida Black Stars | NBC Premier League | KMC Complex | 17.02.2025

FT | Yanga 2-1 Singida Black Stars | NBC Premier League | KMC Complex | 17.02.2025

Kutoka mwaka 2020 mpaka 2025 kwenye LIGI KUU - Yanga amepoteza mechi 1 dhidi ya Makolo. Miaka 6 ni mingi😂 leo wana nguvu kabisa na wanapaza sauti Singida ni dhaifu kwa Yanga. Aliyewahi kusema Tanzania ni channel ya vichekesho wala hakukosea. 😂🙌🏼 CC Bantu Lady ephen_ Shadeeya
20250217_172939.jpg
 
Hivi Mashabiki wa Simba mnaongea nini😅😅😅 mmecheza na prisons wanacheza nusu uwanja wanawaacha kina Zimbwe wanacheza kwenye box lao dakika 45 zote za kwanza hao wakina ngoma wanapasiana pasi kama wako mazoezini wanakabia macho utasema mpira umesimama na mkafunga 3 tukanyamaza😅😅
Kipindi cha 2 wakaja kukaza mkaondoka na 3 zenu zile zile! Nawaambia Timu zikiwakazia kama JKT au kama wanavyokaziana wao kwa wao mtaondoka na point moja kila mechi! SIngida hata wapange first Eleven yao ya nje Kwanzia kwa Imoro hawatoboi bado hawa Combination na ndo mana match 2 hizi kwanzia ya JKT Rupia/Sowah hawaanzi pamoja hao wakina Arthur hata wakicheza na Kengold wanatokeaga Sub
Pokou mwenyewe hachezeshwagi dakika 90
Tatizo hamuangaliagi match tofauti na za Simba na yanga
Lakini haiondoi ukweli kwamba yanga ya dar imecheza na yanga ya mkoani
 
Kutoka mwaka 2020 mpaka 2025 kwenye LIGI KUU - Yanga amepoteza mechi 1 dhidi ya Makolo. Miaka 6 ni mingi😂 leo wana nguvu kabisa na wanapaza sauti Singida ni dhaifu kwa Yanga. Aliyewahi kusema Tanzania ni channel ya vichekesho wala hakukosea. 😂🙌🏼 CC Bantu Lady ephen_ Shadeeya View attachment 3239300
Weka na takwimu za kimataifa boss tuone Yanga alivyo mbabe dhidi ya mtani wake.
 
Weka na takwimu za kimataifa boss tuone Yanga alivyo mbabe dhidi ya mtani wake.
Unakimbilia kimataifa tu.

Punguzeni kugawa uroda kwa Yanga.

Hili mkija na tuhuma zenu za uongo angalau mpate kusikilizwa na wenye akili.

Sasa wewe mpinzani mkuu wa Yanga umefungwa game 4 mfululizo tena wewe ni mkubwa kuliko timu zilizobaki ukiotoa Yanga.

Wewe mkubwa unafungwa unashangaaje wadogo wakifungwa?

Au una wivu untaka ufungwe wewe tu kolo wenzio wasifungwe?
 
Hili gape lita wapa pressure makolo Tifu tifu waliangalie hili hatutaki lawama
 
Kutoka mwaka 2020 mpaka 2025 kwenye LIGI KUU - Yanga amepoteza mechi 1 dhidi ya Makolo. Miaka 6 ni mingi😂 leo wana nguvu kabisa na wanapaza sauti Singida ni dhaifu kwa Yanga. Aliyewahi kusema Tanzania ni channel ya vichekesho wala hakukosea. 😂🙌🏼 CC Bantu Lady ephen_ Shadeeya View attachment 3239300
Makolo yanatia huruma.

Kazi kuwasakizia watoto tu.

Wao kazi wameishindwa ya kumfunga yanga.
 
Unakimbilia kimataifa tu.
Kule hakuna Janja janja

Punguzeni kugawa uroda kwa Yanga.
Lafudhi, lafudhi.
Hili mkija na tuhuma zenu za uongo angalau mpate kusikilizwa na wenye akili.
Usiwe serious sana, ni utani wa jadi huu. Tuhuma serious zinafunguliwa mashtaka, ushamuona yeyote amewashtaki?
Sasa wewe mpinzani mkuu wa Yanga umefungwa game 4 mfululizo tena wewe ni mkubwa kuliko timu zilizobaki ukiotoa Yanga.
Yanga angekuwa mkubwa angevuka makundi kimataifa, ni mdogo mno.
Wewe mkubwa unafungwa unashangaaje wadogo wakifungwa?
Sijashangaa boss, ntashangaa mkivuka makundi.
Au una wivu untaka ufungwe wewe tu kolo wenzio wasifungwe?
Hahaha, Kahongeni waharabu kwa $ tujue mpo serious maana ndo wanawatusuaga hamvuki.
 
Unakimbilia kimataifa tu.

Punguzeni kugawa uroda kwa Yanga.

Hili mkija na tuhuma zenu za uongo angalau mpate kusikilizwa na wenye akili.

Sasa wewe mpinzani mkuu wa Yanga umefungwa game 4 mfululizo tena wewe ni mkubwa kuliko timu zilizobaki ukiotoa Yanga.

Wewe mkubwa unafungwa unashangaaje wadogo wakifungwa?

Au una wivu untaka ufungwe wewe tu kolo wenzio wasifungwe?
Yanga aina tofauti na Kengold tu. Zote hazıpo CAF
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom