nijuavyo yanga huwa wanashona sare 3 mfululuzo😀😀Sisi vitambaa vya sare havijawasili hahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nijuavyo yanga huwa wanashona sare 3 mfululuzo😀😀Sisi vitambaa vya sare havijawasili hahaha
KabisaMechi ya leo Yanga wanapaswa kumuongeza mpunga Refa ndiyo uungwana kazi aliyowafanyia ni ya kutukuka
Si wao ni mabingwa wa kuanzisha nyuzi za simba kesho discusion ziwe za goli la nje goli la refaIla bado, lile swala la mpira kutoka kisha kurudushwa ndani na kusababisha goli bado hatujalimaliza
Marefa ya bongo maboyaDube kaangushwa kwenye penati box Refa kafunika
Yanga wekeni katika hifadhi na hili
Kitendo cha;MOTM ni refa, hapa hata Yanga wanakubali kimoyomoyo.[emoji23]
Ngoja wakusikie....utawakomaAziz Maufunguo ni player wa kawaida sana.
Wameridhika na sakhoHivi Scout Wa Simba Kipre Junior Hawakumuona?
nguvu MojaTushinde kwanza mechi ya kesho, hatuna wasiwasi kabisa.
Sijaidharau mkuu ila champions league mtampata wapi refa kama wa leo ili mtoke sare?Wewe umeidharau AZAM?
Washazoea kusema timu ya TFF inabebwa sasa nataka leo kila mmoja kwa nafasi yake atoke akiri kuwa lile sio goli halaliSi wao ni mabingwa wa kuanzisha nyuzi za simba kesho discusion ziwe za goli la nje goli la refa
Amejitahidi kutumia mbereko ya chumaNyota wa mchezo ni refarii kmmk
mhh!lingekuwa
Ni kweli. Ila Mwamnyeto yule mm sina Imani nae Kimataifa. Huku 'kiloko-loko' refa anaweza kufanya yakeMwisho wa siku yatajisifia ni unbeaten