Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi kukiri hiliYule mwarabu wa nguruka si anapenda kusema wanaonewa haya Refa leo amewabeba basi aseme pia na hilo
Watasema presha ya mchezoMshkaji wenu Funguo kila akishika mpira anageukia kwenu...
Uongozi wa Uto toeni neno la shukrani kwa refa
Marefa wanaharibu sana mpira
Marefa wa michongo wanatuharibia soka letuKwa kweli leo nimechoka na maamuzi ya mechi[emoji3]
Yan Yanga hii uifananishe na makolo waliofungwa juzi na timu ya djibout ambayo azam aliifunga 3 😂,ebu kuwa serious kidogo 😂😂Mimi niliwaambia waachane na Simba waangalie kikosi chao wajiandae wao sio wanatuongelea sisi na mambo yetu ooh kwa kikosi hiki kwa kikosi hiki sasa si mmeona kikosi cha kawaida tuu. Halafu mpira sio kikosi tuu mpira na bahati si mnaona leo mmepata bahati mmebebwa bureee yani kwa raha zenu
Na hili waliangalie kwakweli timu ya Taifa ifumuliwe tumechoka uyanga na usimba humo.Sema bajana ipo.siku ataua mtu
Nashangaa national team tunapangiwa takataka mzamiru na mkude
Nilitaka tuendeleze rekodi bhanaHongera si mmerudish nasikia?.
Tulivyowafunga zile 2 za mayele tulibebwaTimu ya hovyo, hata mkibebwa bado mnatoa draw? Ki wa kawaida sana