Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Wewe hujui mpiraUnbeaten ndo nini au mimi sielewi?.Yani mnatoka sare still unajiita unbeaten sasa hayo magoli mawili ni madafu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hujui mpiraUnbeaten ndo nini au mimi sielewi?.Yani mnatoka sare still unajiita unbeaten sasa hayo magoli mawili ni madafu?
Refa wa mchongoHaya matimu yenu ya kishenzi ya Yanga na Simba huwa ni matimu ya kipuuzi Sana yanategemea mbeleko..
Goli la Yanga limetokana na mpira uliotoka Nje kabisa ukaletwa ndani na kuzaa Kona,Refa anajifanya hakuona [emoji51][emoji51]
Refa pia angekuwa 'fea' Azam wangepata tuta walau mojaHata BM hakupaswa kumaliza hii mechi
Angecheza fair yanga asingepata goal la kwanza na rafu uya dube ingekuwa penatiRefa angekua fair azam wangecheza pungufu leo,sema makolo mmejizimisha data tu,yule bajana alistahili 2nd yellow
Refa kiujumla alikua na makosa mchezo wote,kuna sehemu kawauma Yanga na kuna sehemu kawabeba,na kwa azam kafanya hivyo hivyo,kwa tukio la morrison si la kiungwana ila pale refa alikua mbali sana na hata line 1 kule aliko ni ngumu kuona,wote tumeona baada ya marudio,refa akua fair pande zoteHata BM hakupaswa kumaliza hii mechi
Makolo mtabaki kulaumu vitu ambavyo hamvijui,ule mpira uliotoka ilisitahili kuwa Kona,Ila kibendera aliuchuna,matokeo yake ukaingizwa ndani likawa goliKwahyo hyo red card inaondoa ukweli kama mmebebwa goli la mpira uliotoka mkarudisha ndani? Hata ww utakua hujui mpira.
Mkuu Nguruka kwetu. Mwarabu gani huyo?Yule mwarabu wa nguruka si anapenda kusema wanaonewa haya Refa leo amewabeba basi aseme pia na hilo
Eti anaanza mzamiru duhNa hili waliangalie kwakweli timu ya Taifa ifumuliwe tumechoka uyanga na usimba humo.
Kwa nguvu ya refa sawaWe are still unbeaten,azam leo ndio mliipa nguvu ivunje rekodi,tunapasua kila atakaekuja mbele yetu
Hawezi hata kuzungumzia hilo kwasababu shabaha yake siku zote ni kuona mashabiki wa Yanga wanakuwa sambamba kwenye personal beefs zakeYule mwarabu wa nguruka si anapenda kusema wanaonewa haya Refa leo amewabeba basi aseme pia na hilo
Kolo una kiu ya kuona Yanga inafungwa 😂✌,Yanga still unbeaten na sijui kama kuna timu ya kumfunga Yanga hapa nbcAngecheza fair yanga asingepata goal la kwanza na rafu uya dube ingekuwa penati
Tell herSimba kufungwa na djibout unaona kesi?.Kesi ni Yanga kubebwa leo kila mtu ameona aibuuuu
Anategemewa kwa rough, kuna rough moja kaicheza nikashika mpaka kichwaJamaa yenu Aucho ndio mnamtegemea kimataifa? Mtapigwa mpk mchakae
Hawezi hata kuzungumzia hilo kwasababu shabaha yake siku zote ni kuona mashabiki wa Yanga wanakuwa sambamba kwenye personal beefs zake
Hili nimeliona likipokelewa kinyume na mashabiki wachache sana wenye kujitambua, mfano naoweza kuutumia ni yule Zungu ambaye ni albino mwenzake kiukweli katika hili amemkataa na kuweka facts
Wapo Yanga ambao wanajitambua wanaelewa uhalisia wa hizi mambo ila nao wameamua kukaa kwenye mstari mmoja na mashabiki oya oya ili mradi wasionekane hawana mapenzi na Club.
Tell herRefa pia angekuwa 'fea' Azam wangepata tuta walau moja
Sio kiivo mkuu, apart from huo mpira wa nje hebu nioneshe pengine ni wapi Yanga kabebwa??? Unajua watu wengi wanatamani waone Yanga anafungwa ndio maana unaona haya malalamiko ya washabiki hasa wa Simba kuhusu kubebwa Yanga unayasikia Kwa wingiHii game Yanga kabebwa sana
Mauli Kitenge leo kwenye sports HQ akajidai ye ndio ripota wa habari ya Kisinda kana kwamba ye ni moja ya wadau ambao wako inner na walihusika kila hatua kwenye ishu ya usajiliHyo michambuzi ya Tanzania kazi kuiongelea Simba tuu kwa maujinga yao hili kesho sijui watasemaje swhwaiiini zenu kama mko humu
Acha kupamba mavi maua makosa ya kuinufaisha yanga tuRefa kiujumla alikua na makosa mchezo wote,kuna sehemu kawauma Yanga na kuna sehemu kawabeba,na kwa azam kafanya hivyo hivyo,kwa tukio la morrison si la kiungwana ila pale refa alikua mbali sana na hata line 1 kule aliko ni ngumu kuona,wote tumeona baada ya marudio,refa akua fair pande zote
Game iwe fair nyie ata Namuongo anawatia nyumaKolo una kiu ya kuona Yanga inafungwa [emoji23][emoji111],Yanga still unbeaten na sijui kama kuna timu ya kumfunga Yanga hapa nbc