OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Azam wana bahati Aziz Ki hakucheza na Mayele kaingia dakika ya 95
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana ni ile iliyo fungwa na teamu ya DjiboutiYanga hii ndiyo inajiandaa kuliwakilisha taifa kwenye klabu bingwa kweli?
Unamuwaza sana Mayele we jamaa.. hivi umesahau ni juzijuzi tu amekutia BAO mbili na kunyanyua kwapa mbele ya macho Yako kwa mara ya pili mfululizo???Azam wana bahati Aziz Ki hakucheza na Mayele kaingia dakika ya 95
Sio goli halali ki vp ilikua offside au ?Washazoea kusema timu ya TFF inabebwa sasa nataka leo kila mmoja kwa nafasi yake atoke akiri kuwa lile sio goli halali
Vinginevyo wawe na uvumilivu wakiona na timu nyingine ikinufaika na madhaifu ya mwamuzi na ile tabia ya kusema wanaonewa ife
Kaka mpira hesabu, na sio matokeo ya mechi moja ndio yakakufanya ukatoa pesa zote hadi kwenye kidosho ili mradi tu umsajili, kisa umeona kamfunga Simba.Mshkaji wenu Funguo kila akishika mpira anageukia kwenu...
kwa staili hii hata ubeated 100 mtafika. nikikumbuka ule mchongo wa namungo mwaka jana na ya leo na azam [emoji23][emoji23]Kolo una kiu ya kuona Yanga inafungwa [emoji23][emoji111],Yanga still unbeaten na sijui kama kuna timu ya kumfunga Yanga hapa nbc
Futa povu urudi kwenye mechi ya AzamUnamuwaza sana Mayele we jamaa.. hivi umesahau ni juzijuzi tu amekutia BAO mbili na kunyanyua kwapa mbele ya macho Yako kwa mara ya pili mfululizo???
Mpira wa juma shabani ulikuwa tayari umetoka njeSio goli halali ki vp ilikua offside au ?
Kafunga Lomalisa?Goli la kuswazisha mpira ulishakuwa njeView attachment 2348101
Ona huyu MbumbumbuZalan wanawamaliza Yanga mechi zote hapa dar,Yanga wasipojipanga mechi za kimataifa zitaishia ndani ya mipaka ya Tanzania bila passports kugongwa mihuri au kupanda ndege
Ndo huyohuyo...[emoji445]Hivi stori ya klini shiti imeishia wapi,
Au mishale inatoboa na kutokea upande was Pili.
Wakae makini sana.Jamaa yenu Aucho ndio mnamtegemea kimataifa? Mtapigwa mpk mchakae
Hahaha ila watuRefa angekua fair azam wangecheza pungufu leo,sema makolo mmejizimisha data tu,yule bajana alistahili 2nd yellow
Huwa ni kawaida kwa unbeaten team kwny mechi 40 mfululizo, timu inazokutana nazo huwa zinapania sana zivunje huo mwiko,. Ndicho kilichoitokea Yanga Leo. Hebu wape hongera Kwa kujitahidi kulinda rekodi yaoFuta povu urudi kwenye mechi ya Azam
Na hiki ndicho kiliwasababishia msimu uliopita wawe unbeatenUnbeaten ndo nini au mimi sielewi?.Yani mnatoka sare still unajiita unbeaten sasa hayo magoli mawili ni madafu?
Yaani hili refa na mshika kibendera wake naamini rungu la TFF lazima liwaguse mpira umetoka kabisa huu.Goli la kuswazisha mpira ulishakuwa njeView attachment 2348101
Dah, naagiza uchunguzwe aisee[emoji23] updates gani sasa hiii[emoji848]Majira ya saa 1:00 usiku, mabingwa watetezi wa taji, Yanga SC watashuka dimbani kumenyana na Azam Fc katika muendelezo wa ligi kuu ya NBC.
Yanga itashuka dimbani kutafuta alama 3 huku Azam Fc nayo ikijaribu kutafuta alama 3 huku ikiwa haina kocha mkuu.
Mechi inategemewa kuwa ngumu na ushindani, tukutane hap kwa live updates.
Mchezo unaendelea, Azam FC imekuwa ikitanguli mara zote kisha Yanga inarejesha mashambulizi, mabao ya Azm FC yamefungwa na Daniel Amoah dakika ya 25 na Malickou Ndoye dakika ya 65.
Mabao ya Yanga yote yamefungwa na ni Feisal Toto katika dakika ya 57 na 77.
Mashambulizi ni makali, hakuna timu ambayo inakaa nyuma, kila upande unapanda kushambulia unapopata nafasi hiyo.
Zimeongezwa Dakika 3
Mchezo umemalizika kwa matokeo ya 2-2.
40 games now... Hebu muelimishe huyo mbumbumbu mwenzako maana ya unbeaten kuliko kuandika utetezi ulioandika hapa..Na hiki ndicho kiliwasababishia msimu uliopita wawe unbeaten
Namungo walinyimwa penati
Namungo waliadhibiwa kwa penati ya mchongo
Na ipo ile ya Mayele kushika halafu penati wakata wao
Hizo ni mechi ambazo zilikuwa zinamalizika Yanga akiwa amefungwa bila hiyo michongo kufanyika