ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Na Mayele atakuwa nani
Waache tu wafungwe hakuna namnaAzam wanapaswa kuweka umakini eneo la kusini alipo
Tupo mkuuMashabiki wa Yanga huwa hawana imani kabisa na team yao, hapa sasahivi huwaoni mpaka wafunge [emoji1].
Morata.Na Mayele atakuwa nani
Kumbe mmejaa vihere vihere watupuMashabiki wa Yanga huwa hawana imani kabisa na team yao, hapa sasahivi huwaoni mpaka wafunge [emoji1].
Hii game ili waimudu, inatakiwa wao ndo watangulie kupata bao.Azam Huu Ndio Utoto wao Vimakosa Vidogo Vidogo
Acha uoga mtoto wa kiume.Kumbe mmejaa vihere vihere watupu
Ndio walikupiga haoUjinga wa wachezaji wa Yanga kila mmoja anataka aonekane star akifunga
Alianza Azizi Ki, akaja Mayele na saizi namuona Nkane anarudia walichokifanya ndugu zake. Sehemu ya assist we unataka ufumue shuti mwisho wa siku mpira unaenda nje na kuwa goal kick