FT: Yanga 2-2 Azam FC | NBC PL | Uwanja wa Benjamin Mkapa | 06/09/2022

FT: Yanga 2-2 Azam FC | NBC PL | Uwanja wa Benjamin Mkapa | 06/09/2022

Yanga ana asilimia nyingi za mushinda kutokana na chemistry walionayo

Tofauti na Azam ambauo bafo inataguta muunganiko tena katika nyakati ambazo kocha ni mgeni na hii ni mechi yake ya kwanza

Kwa mchezaji mmoja mmoka Azam nawaona wako bora kuliko yanga
Azam ni timu ya ajabu sana, wana kila kitu lakini matokeo yao ni ya hovyo sana
 
Kipigo au Droo kwa Yanga Sc ni faida kwa Simba Sc.
 
Azizi ki alipiga mkwaju wa hatari
 
Back
Top Bottom