ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Dakika Ya 11 Azam Wameishika Game
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Azam ni timu ya ajabu sana, wana kila kitu lakini matokeo yao ni ya hovyo sanaYanga ana asilimia nyingi za mushinda kutokana na chemistry walionayo
Tofauti na Azam ambauo bafo inataguta muunganiko tena katika nyakati ambazo kocha ni mgeni na hii ni mechi yake ya kwanza
Kwa mchezaji mmoja mmoka Azam nawaona wako bora kuliko yanga
Sasa unataka $ 500K ( kwa mujibu wa tambo zao) iende hovyo?Daah Azizi Ki ana uchu na goli yani sehemu ya kutoa assist kagumua bonge la mshuti afu kapaza sasa
Azam wamekaribia kuachia mapaja.Yanga nao wanapata kona
Na Mayele atakuwa naniPrince Dube Ni Kama Haaland