Ukiquote haina shidaMbona hapo umetumia bila maneno mengi?
Sasa nikutajie mchezaji wakati hajatajwa kwenye barua ya TFF, nyie mliokuwa wavivu kufikiria mkaamua kujitungia mchezaji kisa tu hachezi. Hamkuwaza kuwa ana jerahaMambo yasiwe mengi. Nitajieni mchezaji aliyepewa hukumu ili tuendelee na huu mjadala
🐒Kaa humu🚮
We mkubwa unajua
Kumbe unajua kuandikaWe mkubwa unajua
Kipindi cha kwanza tumekosa magoal ya wazii uzembe wa hali ya juu
Nimefundishwa na Lucas🤸Kumbe unajua kuandika
Sasa kama haujui mchezaji ni yupi na haujui hukumu yake inasemaje, kipi kinakupa ujasiri wa kuongea unachoongea? Nini hasa unatetea au kupinga kama hauna taarifa ya kile unachokiongea?Sasa nikutajie mchezaji wakati hajatajwa kwenye barua ya TFF, nyie mliokuwa wavivu kufikiria mkaamua kujitungia mchezaji kisa tu hachezi. Hamkuwaza kuwa ana jeraha
HongeraNimefundishwa na Lucas🤸
Una uhakikaKipindi cha pili tunawamaliza hawa Tabora united vibaya sana
💯Una uhakika
Pacome inUna uhakika
Leo professor kaingiaPacome in
Kwenu makoloLeo professor kaingia
Hana maajabuPacome in
Eeh si hajawahi kuwafungaHana maajabu
Mm ni mwananchi wa nyakati zoteKwamba nawe unaimani na 🐸 fc
Wenyenchi ndio mimiMm ni mwananchi wa nyakati zote
Aziz ki ni mtuWenyenchi ndio mimi