Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Kila la kheri ZALAN
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aziz ki bila kipa mkuu kipa alikua hayupo goliniZalan ni mbovu ila Yanga ndio mbovu zaidi
Aziz Ki ye na kipa kakosa
Mayele kakosa magoli zaidi ya manne
Yanga wangekutana na hii timu ambayo inacheza na Geita nadhani tungekuwa tunaongea habari nyingine
Azizi Ki pale hakuna mchezajiAziz ki bila kipa mkuu kipa alikua hayupo golini
Huyu Mayele ndio wadau walikuwa wanalaalamika kwanini hajaitwa kwenye National team?
Wataota leo wamepostiwa na CAFTatizo mna siri sanaView attachment 2359936
Bado mpaka ashike nyavuNaona mayele kwa leo wampumzishe mapema ngoma imemgomea hii na yupo under pressure
Ndio huyu huyu mkuu...utopolo fans ni bure kabisaaaHuyu Mayele ndio wadau walikuwa wanalaalamika kwanini hajaitwa kwenye National team?
Point hiiNiwakumbushe, huko mbele mtakutana na team ambazo nafasi kupatikana huwa ni chache sana. Unalazimika kutumia hizo hizo chache kupata ushindi.
Yaani pale aziz alikuwa na sababu gani kupiga mpira kwa nguvu vile. mpira wa kusukuma tu kidogo.Hahahaha Mayele yeye na kipa jamani