Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wacheze mpira waache papara.Point hii
Hakuna kitu kibaya kwenye team kama ubinafsiYaani pale aziz alikuwa na sababu gani kupiga mpira kwa nguvu vile. mpira wa kusukuma tu kidogo.
Wacha uchokozi
Umeangalia mechi ya Bayern Munich leo?Kwa kukosa magoli hukuu!! Hakuna mahali tutafika.
Au ndumba nini!??
Chuki humua anaeitunzaInasikitisha sana kuona Tanesco inatangaza kukata umeme mikoa mitatu halafu wajinga wanamaliza units kwa mkapa kizembe hivi
Kuna team inawaweza yanga kwa uchawi Africa mashariki,?Tatizo ninaloliona hapa ni dhahir hawa jirani zetu wameshafanya mambo yao ya nguvu za giza....straikers wetu leo hawalioni goli?...this is an incredible
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Sidhani. Ni pressure ya kufunga magoli mengi ambayo Utopolo wamejipa wenyeweKweli uchawi upo
Yanga wanamkosa mtu kama chama kwenye mechi ya leo the football brain aziz ki mmepigwa mchana kweupe kwanza hana utulivu kabisa.Uzi unamashabiki wa makolo zaidi ya Wananchi wenye timu yao!