ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Angalia hizo twakimu bado Bayern kalala 1_0Hapana..!? Kuna nini huko!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia hizo twakimu bado Bayern kalala 1_0Hapana..!? Kuna nini huko!?
Timu dhaifu sana hii hata kupiga pasi tatu hawawezi masikini.Ila hii timu ni mbovu sana.. ukweli lazima usemwe
Habari janero!Mayele yeye na kipa tena lakini kakosa
CAF wakiangalia hii mechi watakuwa wanajiuliza ile hattrick aliipataje?
Nimeona hata Stephanie kafunga hajafurahi kabisa.Timu dhaifu sana hii hata kupiga pasi tatu hawawezi masikini.
Mshenz huyu anaona sifa sasa, na alivo mjinga, ukute anataka kuondoka nampira tena boya huyu[emoji41][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha aggregate ni 8-0
Wanatia huruma sanaTimu dhaifu sana hii hata kupiga pasi tatu hawawezi masikini.
Unaongea sana mwanathimba
Geita 2-1 HilalUpande wa pili, wawakilishi wetu Geita Gold washapigwa kimoja
Injinia somaaa hiyoooo