Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza kula ugoro1-1 bado
Barikiwa nduguHalafu kuna mtu aliuliza kwanini nilifungua uzi huu, tungepiga wapi soga jamani? [emoji23][emoji23]
Tunataka awe top scorer wa hii ligi kwahyo wamuacheNabi kama mjanja amfanyie Sub Mayele atoke maana alichokuwa anakitaka amekipata
Hizi rough anazochezwwa zinaweza kumgharimu kwenye mechi zijazo, hususani huyu ndiye mchezaji tegemezi kwenye kikosi chake
Hesabu zinaanzia hatua ya pili, huku mnajichosha tuTunataka awe top scorer wa hii ligi kwahyo wamuache
Wangekuwa wachovu wasingekuwa champions leagueHesabu zinaanzia hatua ya pili, huku mnajichosha tu
Hatua ya pili hata akigongesha mwamba tu lazima muiandike hiyo kwenye rekodi maana kule kuna vibopa wenye njaa sio wachovu kama hawa Zalan
Unazingua mkuu wewe km unakula ugoro usichukulie kila mtu anakula ugoro km wewe ushaelewaPunguza kula ugoro
Heee unaota eeeeh!!!Tunataka awe top scorer wa hii ligi kwahyo wamuache