BabuMkubwa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 2,417
- 3,590
Kumbe upo kote koteGeita wanakosa mabao hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe upo kote koteGeita wanakosa mabao hapa
Ngapi ngapi mda huu Geita?Geita wanakosa mabao hapa
Jamaa ach ujinga wa kulinganisha tajiri namba Tanzania na tajiri namba moja MrekaniWangekuwa wachovu wasingekuwa champions league
Champion league ina amuliwa kwa timu kuchukua ubingwaWangekuwa wachovu wasingekuwa champions league
Kuweni wavumilivu tuOffsielde 6 kwa Yanga afu zote kacheza Mayele
Uviziaji sio mchongo
Kama unaona wameonewa ilete timu yako.Mchezo wa pili baina ya Yanga dhidi ya Zalan kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, leo Jumamosi Septemba 17, 2022, ni Raundi ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Mchezo wa kwanza Yanga ilishinda kwa mabao 4-0.
Kumbuka mshindi wa mchezo huu ataenda kukutana na mshindi kati ya Saint George ya Ethiopia na Al Hilal ya Sudan.
Timu zimeshaingia uwanjani kwa ajili ya mchezo huu.
Mchezo umeanza...
10' Yanga wanatawala muda mwingi
18' Zalan wanaonekana kucheza kwa utulivu lakini muda mwingi mpira upo kwa wachezaji wa Yanga
45' Mpaka sasa Yanga imepiga jumla ya mashuti 11 ambayo hayajalenga lango la Zalan
45' Mashuti ya Yanga ambayo yamefika langoni mwa Zalan ni mawili
MAPUMZIKO: Yanga 0-0 Zalan
Kipindi cha pili kimeanza
46' Yanga wameendelea walioishia wanapiga pasi nyingi
GOOOOOOOOOOOOOOOO
47' Farid Musa anaipatia Yanga bao la kwanza
Farid amefunga kwa shuti kali akimalizia pasi nzuri ya Fei Toto.
50' Yanga wameongeza presha na wanafika langoni kwa Zalan mfululizo
56' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Azizi Ki anaipatia Yanga bao la pili
59' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Fiston Mayele anafunga bao la tatu kwa shuti la mbali, kipa anabaki anautazama mpira
62' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Mayele anafunga bao la nne kwa Yanga
64' Yanga imetawala mchezo, wanapiga pasi muda mwingi na mpira wanaumiliki wao.
66' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Mayele anafunga bao la tatu kwake na la tano kwa Yanga
76' Kasi imepungua kwa timu zote
80' Mayele anaomba kutoka baada ya kuumia. Anaonekana akishika sehemu ya nyuma ya paja
81' Mayele ametolewa uwanjani akichechemea
Unatafuta ugomvi na hawa jamaawajitahidi wafikishe hata magoli kumi safari yao ni fupi, hawafiki hatua ya makundi.