FT: Yanga 5-0 Zalan (Agg 9-0) | Caf Champions League | Mkapa Stadium | 17-09-2022

Zalan ni mbovu ila Yanga ndio mbovu zaidi

Aziz Ki ye na kipa kakosa

Mayele kakosa magoli zaidi ya manne

Yanga wangekutana na hii timu ambayo inacheza na Geita nadhani tungekuwa tunaongea habari nyingine
Aziz ki bila kipa mkuu kipa alikua hayupo golini
 
Haya mpesa ikasome sasa kama mechi ya kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…