FT: Yanga S.C 0-0 Rivers United | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 30.04.2023. Yanga yatinga Nusu Fainali

Yanga watakuwa na kiu ya kulipa kisasi cha kufungwa na hawa Rivers nje ndani hivyo watakuwa na kila sababu ya kupata ushindi kwenye ardhi ya nyumbani,
Hawana hiyo jeuri, nipe pale kwa Mkapa kuona Uto wakisambalatika kimasihara 😜
 
UZI UMEPOA KAMA MGONJWA WA U.T.I
Kila la kheri Rivers united [emoji1184][emoji1184][emoji1184]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…