FT: Yanga S.C 0-0 Rivers United | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 30.04.2023. Yanga yatinga Nusu Fainali

FT: Yanga S.C 0-0 Rivers United | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 30.04.2023. Yanga yatinga Nusu Fainali

Mwanga umeimarika...

Naona kama timu zinarudi kwenye vyumba vya kubadilishia nguo...

Hadi sasa hatma ya mechi haijakuwa wazi...
Wakati timu zimeingia ndani, aibu kubwa sana kwa taifa letu.
 
Kombe Mashud Abiola rais wa Nigeria ndiyo kombe la shirikisho? Wewe vipi?
Kwanza haikuwa ligi.
Ilikuwa mtoano.
Niendelee kusema?
Pamba FC walikuwa wanani maaka huo?
Uliza kwa wakubwa badala ya kukurupuka kama mende
Aahhaa

Mkuu usimfanye sana huyo kolo asije akakimbia
 
Back
Top Bottom