FT: Yanga S.C 2-0 As Real Bamako | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 08.03.2023

Huyu Sidibe kampoteza kabisa Mudathir Yahya pale katikati. I wish Wananchi tungeongeza goli lingine. Ila mpaka muda huu, timu imepwaya sana kwenye kiungo cha kati.
 
Yanga wanaiga pira asali hapa[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
ni kweli hayo?
 
Uwanja una shida nn? Mbona kama wanacheza kwenye sahani ya udongo yenye sabuni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…